Lema apigwa stop kukampeni Meru

Wazee wa Meru wamkataza lema!
Duh! yani hapo ndo ccm wanapiga kampeni!
 
KUNDI LA WAZEE WA MERU WAMEMTAKA BW GODBLESS LEMA KUTOSHIRIKI KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KUZIBA NAFASI IIYOACHWA WAZI NA MAREHEMU J SUMARI ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO HILO KWA TIKETI YA CCM. SABABU WANASEMA ALITOA MATAMSHI WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAREHEMU KWAMBA "SASA SUMARI AMEKUFA HILI JIMBO LAZIMA LICHUKULIWE NA CHADEMA" KWA HIYO AMEWAVUNJIA HESHIMA'

HABARI ZAIDI SOMA HAPA:http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/2121-meru-elders-ban-mp-lema
Hilo gazeti la Daily News linasomwa na nani sana sana maofisini tena serikali ya maghamba, hakuna kitu hapo!!!!
 
Kwani meru ni state inayoongozwa na hao wazee?Lema anaongozwa na sheria si wazee waliotumwa na ccm!

Wamejisahua, walifikiri bado tuko enzi za chama kimoja..Zidumu fikra za mwenyekiti..wote tunaitikia zidumuuuu!!!!!
 
Ma.ga.mba at work again,baada ya Lema kuwa kivutio pale msibani kiasi cha kila mtu hasa vijana kutaka kushikana mkono na Lema mpaka Katibu wa CCM wilaya ya Arumeru kuanza kuwazuia na kutaka kusabisha tafrani CCM walitishika sana...sasa wameona wawatumie hao wazee ili tu Lema asishiriki kampeni kwa kuhofia mvuto alio nao...kwanini hao wazee wasinge mwita katika kikao chao waka mweleza alivyowakwaza(kama ni kweli) na kumpa nafasi ya kujitetea...ninavyoamini sifa na kazi za wazee ni pamoja na kushauri,kuonya na kusamehe...sasa napata shaka na aina hii ya wazee wakukaa kikao na kutoa adhabu moja kwa moja...kidogo ninge amini kama ingelisikika kuwa...Wazee wamemtaka Lema awaombe radhi..akakaidi..then wafanye uamuzi kama huu.Kikatiba pia hawa wazee hawana mamlaka kama hayo na ikizingatiwa pia marehemu Sumari hakuwa mbunge wa wazee pekee,alikuwa mbunge wa makundi yote(vijana,wazee,wasomi,wasio wsomi nk),na ndivyo atakavyokuwa mbunge atakayechaguliwa tena hapo 1 April...sasa sijui hawa wazee wanapata wapi mamlaka ya kuwasemea wana Arumeru wote.Lema tia timu Arumeru muda ukifika ni haki yako kikatiba kamanda.

hao sio wazee ni wahuni tu hao!!
 
Watanzania kwa sasa hadanganyiki kirahisi...
Watafute mbinu za kupora ushindi tu....! lakini si laghai za kizamani hizi...
 
KUNDI LA WAZEE WA MERU WAMEMTAKA BW GODBLESS LEMA KUTOSHIRIKI KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KUZIBA NAFASI IIYOACHWA WAZI NA MAREHEMU J SUMARI ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO HILO KWA TIKETI YA CCM. SABABU WANASEMA ALITOA MATAMSHI WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAREHEMU KWAMBA "SASA SUMARI AMEKUFA HILI JIMBO LAZIMA LICHUKULIWE NA CHADEMA" KWA HIYO AMEWAVUNJIA HESHIMA'

HABARI ZAIDI SOMA HAPA:http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/2121-meru-elders-ban-mp-lema
wazee wa Arumeru au wazee wa CCM? fafanua.

Na bado; hizi ni rasha-rasha, subirini za masika zianze kwa nyie (ccm) ambao bado mpo mabondeni.
 
KUNDI LA WAZEE WA MERU WAMEMTAKA BW GODBLESS LEMA KUTOSHIRIKI KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KUZIBA NAFASI IIYOACHWA WAZI NA MAREHEMU J SUMARI ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO HILO KWA TIKETI YA CCM. SABABU WANASEMA ALITOA MATAMSHI WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAREHEMU KWAMBA "SASA SUMARI AMEKUFA HILI JIMBO LAZIMA LICHUKULIWE NA CHADEMA" KWA HIYO AMEWAVUNJIA HESHIMA'

HABARI ZAIDI SOMA HAPA:http://dailynews.co.tz/index.php/local-news/2121-meru-elders-ban-mp-lema

Wamekosa la kuchukua katika hiyo hotuba LOl!
Inaelekea wanamuogopa sana Lema?
Nenda kauashe Lema go! go!
 
Ni gazeti la chama na serikali ya Magamb.a

CHADEMA watakumbana na vizingiti vingi sana kwenye huu uchaguzi mdogo. Badala ya kulishambulia gazeti la Daily News ni vizuri kutafakari ni kwa vipi kauli kama hii inatolewa! Hili jimbo ni la mkwe na kwa vyovyote mbinu nyingi (safi au chafu) kulikwaa. Sitashangaa kusikia kauli zingine toka kwa wazee, tena kauli za kibaguzi, kikabila, ki-ukoo na hata kiimani. Sitoshangaa kumskia hata Babu wa Samunge akitoa maelekezo juu ya namna ya kupiga kura.
 
Nilishasema tena...ule wimbo wa nursery School..Jogoo awikaaa, kuwaamsha watuaa, wale walio lalaaa, Waamke sasa...!!!! Hiki kidume ni jogoo la mjini hata shamba linawika kuwaamsha walliolala, Sasa wanajua kijamaa kikija kijijini walio lala wakiamka kwao imetoka..Viva Lema..Watanzania wataijua nini maana ya Vyama Vingi na ikimwamcha aliyelala lazima ulale wewe..Chadema kimebeepiwa na Magamba kimeamka ni lazima magamba yalale..Kulaladek walah..Nakuja Arumeru
 
Kwa muoga huenda KICHEKO, Kwa Shujaa huenda KILIO!
CCM wanafahamu Arumeru sio UZINI

Ninaona CCM watafuta SERA mbadala baada ya kugundua sera zao
za hivi karibuni za UDINI na UKANDA, Arumeru hazina soko

Go go go Lema
 
Hilo gazeti ni mali ya ccm,wazee wale ni wazee wa chama kizee ccm,sera ya kutumia wazee wa kikabila ni sera ya ccm pia.ni muendelezo wa kampeni chafu zilizoanzia kule monduli juzi,kwa kugawa ng'ombe.
Lema namsihi asitishike na kauli hii,kwani ni mbinu ya ccm na sio kauli rasmi toka kwa wazee wale,bali wazee wachache wenyhe njaa zao.
 
Huwezi kuacha jembe utalimaje

ndo hivyo baba! Lema ni jembe la kujivunia chadema zasy hawa magamba wanaogopa sana, Lema nenda baba ukawaoneshe hawa magamba kuwa wew ni JEMBE koz ccm wanajua wewe sio mpaka poda kama Nape mropokaji" KP IT UP LEMA nd VIVA CHADEMA.
 
Yaani wanamtumia mpaka mzee Sarakikya!

nchemba+2.jpg
 
Tuna hasara sana uongozi mbovu uliko madarakani!

Hawana jipya hawa wajilazie mbele tu!
 
Tutakutana Arumeru! Tarehe 1/4/2012 msizime simu kama tulivyowakimbiza Igunga...
Ephata Nanyaro upo?????
Just Loading...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom