Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Aliyekuwa mbunge Arusha mjini Godbles Lema ameushangaza umma hapo jana alipowaambia wananchi kuwa mkewe amejifungua mtoto wa kiume na amempa jina m4c
King'asti! Nakubaliana nawe, nadhani jina ambalo lingemfaa ni Che Guevara. Che Guevara alikuwa mwanamapinduzi wa kimataifa kuliko kuwa na dhana ndogo ya chama cha siasa.I hope amejihakikishia kuwa hatakaa ahame chadema. La sivyo atajiandikia historia kwa herufi kubwa.
Kakangu alibatizwa Che Guevara pia.
Aliyekuwa mbunge Arusha mjini Godbles Lema ameushangaza umma hapo jana alipowaambia wananchi kuwa mkewe amejifungua mtoto wa kiume na amempa jina m4c
Nafikiri itakuwa "em fo sii" Kama vile "Ufoo Saro wa ITV". Kwa hawa ndugu zetu wa Kilimanjaro hilo jina ni zuri tu,usiliangalie kwa Itikadi ya Chama.Mie sijaelewa naomba ufafanuzi. Kwa hio mtoto ataitwa 'em fo sii' ama 'movement for change'?
shuleni kitakuwa kivumbi kuliandika hilo jina
Are you serious?King'asti! Nakubaliana nawe, nadhani jina ambalo lingemfaa ni Che Guevara. Che Guevara alikuwa mwanamapinduzi wa kimataifa kuliko kuwa na dhana ndogo ya chama cha siasa.
Bazazi!
Are you serious?
Kwamba dhana ya chama cha siasa ya kuleta mapinduzi ndi DHANA NDOGO kuliko mtu aliyekuwa nyumba ya mapinduzi?
I mean.....C'on!
King'asti! Nakubaliana nawe, nadhani jina ambalo lingemfaa ni Che Guevara. Che Guevara alikuwa mwanamapinduzi wa kimataifa kuliko kuwa na dhana ndogo ya chama cha siasa.
Bazazi!