Lema afunika Nzega

Lema afunika Nzega

never

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
240
Reaction score
77
mbunge wa ARUSHA mjini Godbless Lema akiwa ameambana na katibu wa mkoa wa Kinondoni Bwana Kilewo, leo wamewasha moto Nzega na kuufanya mji wote kuwa na mayowe ya furaha huku sauti ziki sikika ziki sema LEMA! LEMA! mkombozi wetu,

akihutubia maelfu ya wakazi wa nzega Mh Lema alisema, kama kweli NAPE ni mwanaume amwambie Kikwete ajivue gamba, kwakuwa JK ni fisadi na muhujumu mali za umma, kauli hiyo iliamsha shangwe kubwa sana na pale KILEWO alipo sema msimuongepe fisadi Kikwete wala Pinda wala Makinda anayepindisha kanuni za Bunge natamani kama ningemkuta 2015 huyu mama ila najua sitamkuta kwakuwa hawafiki 2015 ilikuwa kauli ya kilewo,

kama kawaida yake LEMA alisema ni mgeni nzega so anapita mtaa kwa mtaa iliapate kuijua vizuri, jamani yalikuwa ni maandamano ya kufa mtu. vibanda vya kuuza vitu vilifungwa kila mtu anataka kumshika Lema..... hakika Lema ni jembe la kweli
 
Yaani hii CHADEMA hii kila mutu inatisha......masikini JK jamani na Chama Cha Magamba chake namuoneone huruma mbaba wa watu hapumui

Sasa hivi ameparalize upande mmoja wa ubongo kwa sababu ya Slaa.....sasa tena wanaibuka wengine nao ndio wanamtia homa kabisa

Well done, homa inawapanda na wanashindwa kunywa maji kwa kele za chura na kupanda mlima wa "vikokoto"...............na wameanza kujinyonga kwa nguvu ya umma
 
Lema ni kijana mwerevu sn wa siasa za bongo, na ana uzoefu wa juu sn wa maisha ya uswazi...Muda mwingi anautumia kuongea na watu wa chini, hasa watengeneza simu wa mitaani na salon za kunyoa. kwahiyo anapata live kionjo cha maisha ya taabu.
Hakika huyu kijana ni mwakilishi wa jamii yoyote nchini na ana mvuto usipime!
 
Jamani watu mlio huko wilaya za Tabora tuwekeni picha na sisi tuweze kufaidi hayo yanayotekea huko. Tafadhali hata mkitumia simu kupiga hizo picha inatosha. Mwaka huu mkuu wa kaya anaweza kufa kwa PB.
 
Taratibi hivi hivi hadi uchaguzi wa twenty fifteen ufike tutakuwa tumemkata kichwa nyoka aliyejivua magamba!
 
kweli cdm inamakamanda wa ukweli nilivutika zaidi na killewo pale alipo waambia vijana wote wanyanyue mikono juu wasali, sala naapa kwa mungu baba yakuwa sitoisaliti chadema katika harakati za ukombozi wataifa langu linalo liwa na mafisadi, nitaendelea kuunga harakati hizi mkono ninajua nitapata vitisho vingi eeh mungu baba naomba uendelee kunipa moyo wa ujasiri katika harakati zangu, mungu baba naomba upokee sala hii toka moyoni na ninamaanisha kwakile nilichokinena hapa, siku tuki saliti harakati hizi mungu utulaani ... ameniii... watu weweeeeeee safi safi safi safi..... yaani ilikuwa full shangwe
 
nimekipenda hiki kiapo cha utii,nothing comes close to this katika ku-instil moyo wa uzalendo na kuweka zege zito la harakati za kulikomboa taifa hili na kulirejesha kwenye right track.Mungu tusaidie
 
Makamanda wa nzega mmetunyima raha,mnge atach na picha jamani ingekua poa sana,anyway tunashukuru kwa hizo habari,ila next time picha ingeleta raha zaidi.
 
Bila ushabiki wa kidini msemo mzuri wa CCM kutumia katika kipindi hiki ni kusema "CCM IMEOKOKA" maana hili la kujivua gamba ni kwamba halileti mantiki nzuri. Je ina maana kujivua gamba la ufisadi wa kale na kupata gamba la ufisadi wa kisasa?
 
Back
Top Bottom