Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Tuwe tunasoma kupata Maarifa pia
IMG-20201226-WA0093.jpg
 
To be honest tunahitajika kuzungumza mno na hawa wasichana huko chuoni

Wanajirahisi kupita kiasi
Malecturer nao ni wanaume mashababi kuruka mitego ya hao wabinti ni Neema za Mungu

Yaani nawahurumia hao watakaotarajia kuoa hichi kizazi kilichopo chuo kwa sasa

Wanatumika mno jamani
Nimekuelewa Sana tena sanaa.
 
We umoena hao lectures pekee yao..mbona huseni.. wanafunzi wanaowekana kinyumba..kama.mmke na mume...mzazi unalipa ada..home mnakula.maharage miaka mitatu kusomesha kijana ama.binti kumbe chuoni ni mke wa mtu..anapikwa na kupakuliwa na wwnzake...

It's so hurt aisee...wanafunzi wengi wa vyuo now days wanasoma ngono ..mawazo na akili zao zimejaza ujinga
 
mabinti wenyewe wanajirahisisha kwa wakufunzi, unakuta binti hasomi kafeli test one kafeli test two na group assignment huenda hajahudhuria.

Anamfuata mkufunzi na kumwambia mwalimu naomba nisaidie kunipa coursework nzuri jaman.Nipo tayari kwa lolote lile mwalimu jamaan. Nakuahidi.

Na sisi wanaume kama tujuanavyo ukishaskia hivyo baas kichwa cha chini kinaanza kufanya kaz cha juu kinakuwa kimevurugwa.

Na log out

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndio hutumia huo udhaifu kukukomesha na hivi hakuna wakuhoji in short hyo tabia ni mbovu na ni kichefu chefu mno kwa kweli
Mie kila siku nasema ipo siku hili janga litakuwa wazi, afu sijui lawama itatupwa kwa nani. Lol
 
Anakufelishaje? Hebu acha kupayuka kama mwehu!!!!

Chuo gani hicho Lecturer anafelisha mwanafunzi makusudi?

Unajua kwamba kila chuo kina idara ya QAB (Quality Assurance Bureau)? Unajua ina kazi gani?
Wee nijibu kwa staha bas, huu muhemko wako vipi? Kwani ukijibu kwa uratatibu tyuuh unapungukiwa nini? Km umeguswa poleeeh
 
Tatizo hao dada na wadogo zenu hawapendi kusoma,Muda wote Instagram na YouTube kufuatilia maisha ya mastar.

UE zinapokaribia wanajikuta Wana vitu vingi vya ku cover na hapo utakuta mtu ame skip vipindi vingi.

End of the day wanashauriana waende kwa lecturer wakapewe favorite.

Na Kama mnavojua ndugu zangu 'tunda' halina mbabe Wala mtaalamu wa kulikataa unless otherwise huyo lecturer awe na uwalakini.
 
Ni kweli kuna Dada yangu aliniambia kwasasa pale UDSM ukitaka kutoka na DEGREE SAFII INAAMBATANA NA UKIMWI WA KUJA NAO MTAANI
 
Watoto wakike wapo kwenye hatari maeneo mengi Sana ya mapito yao ya maisha, siyo chuo tu, nimeshuhudia maeneo mengi sana kuanzia safari yao ya masomo ya primary Hadi kupata ajira kote ni hatari tupu na hii inatokana na mifumo mibaya ya elimu ktk nchi yetu,
Anapokuwa shule ya msingi na secondary wengi hurubuniwa na waalimu wenyewe na hata wauza chips na zaidi Sana Bodaboda kwa wale wanao soma Day haswa shule za kata zilizo vijijini,
Kwa wanafunzi wa vyuo vyoootee kuanzia certificate had masters hao ni chakula ya ma lacturers, ili apate GPA nzuri lazima aliwe, na katika hili mm nailaumu sana serikali kwa kuwaachia hao lacturers kutunga mitihani na kuisahisha wenyewe, viongozi wetu wengi ni wanawake sijui hawalioni hilo?
Wanapo enda Field huko nako wanakutana na changamoto za wakuu wa idara ama kazi, ili wapate ripoti nzuri lazima agawe papuchi kwa mkuu wa idara na pengine hata wasaidizi wao,na wengi hudanganywa kuwa baada ya field watapatiwa ajira eneo husika.
Wanapo enda Sasa kutafuta ajira huko ndiko balaa kabisa maana kama hugawi uchi basi ajira utaisikia kwa wenzako, namfahamu jamaa mmoja yeye ni manager wa kituo fulani kikubwa cha mafuta ambacho pia kinahusika na masuala ya Hotel's, yeye kila wiki anatoka na demu mpya kwa kuwadanganya atawapa kazi,wengi wanao enda omba ajira pale huacha no zao za cm na baadae jamaa anawatafuta private na kuwarubuni,
Kwahiyo kwa ujumla watoto wakike wapo ktk wakati mgumu kwa 80% ya maisha yao.

Tutafuteni tiba ya hili tatizo kwa kuwa likiachwa litazidi kuwa kubwa na mwisho jamii itachukulia ni kawaida tu,tufanyeni nini tuliondoe hili tatizo?jiangalie ww na jamii yako inayokuzunguka!kama sio ww basi atafanyiwa mwanao na kama sio mwanao atafanyiwa dada yako na kama sio dada yako bc atafanyiwa mkeo je tunafanyaje kuiondoa hii hali ili ibaki kuwa vyuoni ni sehemu salama kwa jamii hii ya kike?hebu tusaidiane ktk hili ili watoto wetu wawe salama.
 
Mlio na madada vilaza hii mada inawahusu.
Hata hivyo nimeona watu wanamwaga nyongo sana kana kwamba kuna la ziada na machungu ya ziada juu ya wadada vilaza na wavivu makazini.From my experience,wakaka ni mambumbu zaidi nilipopita!.
 
We umoena hao lectures pekee yao..mbona huseni.. wanafunzi wanaowekana kinyumba..kama.mmke na mume...mzazi unalipa ada..home mnakula.maharage miaka mitatu kusomesha kijana ama.binti kumbe chuoni ni mke wa mtu..anapikwa na kupakuliwa na wwnzake...

It's so hurt aisee...wanafunzi wengi wa vyuo now days wanasoma ngono ..mawazo na akili zao zimejaza ujinga
Anzisha mada ya hili dukuduku wewe.
 
Back
Top Bottom