ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,754
Hawa wamendeaji n hatar sana ndo maana jana mbunge kasema 2we na chuo kuwafundsha wanaume zege
Yeye sio zege ila anaForce vitu na mbaya zaid anajitapa kuwa mimi ndo mwenye shida.
Tuko pamoja miss strongHabari wana JF,poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa letu.
Nashukuru kwa ushauri wenu na maombi yenu juu ya yaliyonikuta kwa huyo lecturer kama nilivyotuma katika huu mtandao wik iliyoisha.
Nilichukua maamuz ya kwenda kwa DS moja kwa moja baada yakutoka kwa HOD,Nilipoonana na DS nilieleza hali halis iliyonitokea na kuniomba nisiogope maana yeye ni baba kwahiyo niwe huru tu.Baada yakuyasikiliza hayo yote ikabidi twende nae kwa mkuu wa chuo.Aliniacha na mkuu wa chuo na nikajieleza kama nilivyofanya kwake.
Mkuu wa chuo aliniomba nimwandikie yeye barua na kuahidi kuwa lazima hilo alifanyie kazi maana kaletwa kwa ajil ya kaz hiyo maana chuo hicho kilikuwa kinanuka tabia hizo na hatamuonea mtu aya maana hakuna mtu anayemjua yeye ni mgeni.Amekiri kuwa huko chini kuna kulindana sana.
Aliomba nimuahid kama nitafanya hivyo maana mimi ndo nitawapa wao nguvu ya kuendesha hiyo kesi....!
Tayari nimeandika barua na nimetengeneza CD ya maongezi yale aliyokuwa ananiambia.
Walikuwa wanaisubiri na kuniambia kuwa walihisi labda nimenunuliwa baada yakuona nimechelewa kurudisha hiyo barua maana kati ya hao wakuu alipoonana na( mwalimu ) hakumchangamkia kama ilivyo kawaida na kuhis kuwa ameshituka au amesikia kuwa mimi nimeenda kushitaki hiyo kesi.
Nimeambiwa hizo nguo ambazo nilizozivaa siku hiyo la tukio nisizifue wala kushikwa na mtu mwingine,na tayar nimefanya hivyo.Tunasubiria maamuz ndan ya wiki hiyo ijayo lakin tayar limeanza kufika kwa wanafunz na kama litacheleweshwa bas nitataja chuo kwenye mitandao nakuomba asasi mbali mbal kunisaidia kwa jambo hilo na pia wanafunzi wenzangu kusaidia hilo kwa maana huyo mwalimu pale ni janga kabisa tayar amewafanyia wengine mambo hayo sana.
HOD nilipoona nae aliniambia ameona habar yangu kwenye mtandao,kwahiyo anasema hata mlengwa atakuwa ameiona.........nikamjibu mm sintojali kuwa ameona au laah coz sijamtukana mtu bali ni ukwel mtupu niliouzungumzia ktk huo mtandao.
Na iman sana na huu uongoz mpya wa chuo kuwa watafanya kitu.
Tayari pia nimewasiliana na watu wa sheria na wao pia wanasimamia hilo jambo
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwenu wote..................Mungu awabariki mno!Nahitaj ushaur wenu zaidi na kama kuna kitu nimekosea katika hizi hatua za ss pia mnikosoe.
Kwa jinsi ninavyoujua utendaji kazi wa kibongo, nahisi kama kazi unayo!
DNA test kwenye nguo? hope watafanikiwa.Wakishindwa sijui itakuaje.Je, ulifanikiwa angalau kumuwekea alama yoyote wakati mnapambana, au kuchukua hata unywele tu? Hapa naaangaliwa uzito wa evidence mahakamani, kuhusiana na kubaka.Itakapobidi sina jinsi............na ndio maana wakuu wake wamesema wapo heri hata nguo zipimwe.Si anaweza yy akahisi amedharirishwa?Mzazi wangu pia anasubiria majibu ya chuo.
Dada wewe mwanaharakati wa ukweli.Hongera.Ila kuna visistaduu uchwara vitakuona nuksi kweli kwani unavipeperushia ndege wao.
DNA test kwenye nguo? hope watafanikiwa.Wakishindwa sijui itakuaje.Je, ulifanikiwa angalau kumuwekea alama yoyote wakati mnapambana, au kuchukua hata unywele tu? Hapa naaangaliwa uzito wa evidence mahakamani, kuhusiana na kubaka.
Ni kweli, hii kesi ni ngumu. I hope ile CD aliyomrekodi itamlinda.Pia kama kuna wanafunzi walishawahi kumtuhumu huyu jamaa, itaongezea uzito kwenye hii case.Mwanangu miss strong,hakikisha unathibitisha kesi yako.Ukishindwa kufanya hivyo,huyo Mhadhiri atakushtaki kwa kumdhalilisha(defamation). Kama pana ugumu mahali popote,wasiliana nami kwa PM ili tuyaweke mambo sawa. Sikia na uelewe!
Bora angekubembeleza ukampa kistaarabu...
Ok, nakuelewa.Niliogopa kujikuta hata kumtia ukucha coz nilishapata tetes kuwa afya yake wanaitilia shaka kwahyo nilikuwa najihami sana.Kwahiyo sikuweza kufanikiwa.
Sasa unamkatisha tamaa na kumuacha hewani ...... ! Afadhali ungetoa ushauri wa njia uionayo wewe kuwa ni sahihi .......!Sina uhakika na usahihi wa njia unayoitumia kutatua tatizo hili, linaweza kukuleta matatizo zaidi kuliko kutatua. Nadhani kungekuwepo na njia bora zaidi ya kushughulikia swala hili, kila la heri lakini.
Ni kweli, hii kesi ni ngumu. I hope ile CD aliyomrekodi itamlinda.Pia kama kuna wanafunzi walishawahi kumtuhumu huyu jamaa, itaongezea uzito kwenye hii case.
Ila jamaa angekuwa ameandaliwa mtego hii kesi ingekuwa rahisi zaidi.
atakuwa ni mzoefu katika tabia hii,itakuwa rahisi kumshitaki kwa kosa la kukutaka kimapenzi, ila kosa la attempt ya kukubaka linaweza likakosa ushahidi wenye nguvu, labda wataalamu wabahatishe nywele zake kwenye hizo nguo.au kama aliumia damu ikaingia kwenye nguo zakoTulifikiria kufanya hivyo ila halihisi kbs kuwa naenda kureport....kurud kwangu tena mara ya pili alishituka.Tulijaribu kufanya hivyo lakin alikuwa mtu wakukwepa.Anajua hasa nn anafanya huyu jamaa ni mjanja sana.
atakuwa ni mzoefu katika tabia hii,itakuwa rahisi kumshitaki kwa kosa la kukutaka kimapenzi, ila kosa la attempt ya kukubaka linaweza likakosa ushahidi wenye nguvu, labda wataalamu wabahatishe nywele zake kwenye hizo nguo.au kama aliumia damu ikaingia kwenye nguo zako