Kang kin
Senior Member
- Mar 21, 2017
- 154
- 122
Wewe unasema tu but huo ndio ukweli ingekuwa hivyo ndoa nyingi zingedumu sana but fuatilia uone utagundua nachokisema utakuta mwanaume anajielewa na anaiheshimu ndoa yake but mwanamke sasa ni headache nina mifano mingi sana.Ngoja nikwambie, hakuna mwanamke anapenda kuwa juu ya mwanaume. Mwanamke anafeel secured anapokuwa yupo chini ya mwanaume wake, ndoto ya kila mwanamke ni kupata mwanaume anayejielewa ili amtii na kumsikiliza for the rest of her life ila inapotokea kinyume chake mwanamke anaona haina haja ngoja wote wawili tushike usukani vinginevyo chombo kitatumbukia shimoni