Hatimaye Lazaro Nyalandu aikumbuka CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,741
218,330
FB_IMG_1689676152083.jpg

Lazaro Nyalandu, Mwanaccm wa kwanza kujivua Ubunge kwa sababu ya kupinga Udikteta wa Magufuli wa kuteka, kutesa na kushambulia watu kwa risasi, ambaye baadaye alikimbilia CHADEMA na kupokelewa kwa heshima na hatimaye kupewa Cheo kikubwa cha kuongoza Kanda ya kati, miezi kadhaa baada ya kurudi tena CCM ili kubahatisha cheo bila mafanikio amefunguka kuhusu wema wa CHADEMA.

Nyalandu amenukuliwa akisema kwamba "Wanachama wa CHADEMA wanakisapoti sana chama chao na wana upendo mkubwa sana miongoni mwao". Ameendelea kufunguka kwamba jambo hili halimo ndani ya CCM ( Haifahamiki amekumbwa na nini )

Bali ikumbukwe kwamba hata Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliwahi kunukuliwa kwenye vikao vya Chama chake kwamba , "WANACCM HAWAACHIANI MAJI YA KUNYWA MEZANI " kwamba kama ukiacha maji yako kwenye kadamnasi ya chama hicho unaweza kuwekewa kitu kizito ndani yake, Ushahidi wa kuachiana maji mezani anao Phillipo Mangula.

Tutafakari sana Ujumbe huu wa Nyalandu.
 
Nyalandu amenukuliwa akisema kwamba , "Wanachama wa Chadema wanakisapoti sana chama chao na wana upendo mkubwa sana miongoni mwao" , Ameendelea kufunguka kwamba jambo hili halimo ndani ya CCM ( Haifahamiki amekumbwa na nini )
ni kweli ukiwa ndani ya CCM bila kusujudia fikra sahihi za Mwenyekiti ambaye huwa ndiye Rais wa nchi aisee maisha yako ndani ya chama yatakuwa ya mashaka mashaka, utakaa mbali na teuzi na ukiuzubaa hata njia zako za kiuchumi zinaweza kufungwa ili utie adabu.

Ndani ya CDM wanachama wao wana demokrasia huru, na ndiyo maana unaona kuna muda watu wanakwenda tofauti ya viongozi wao ki mtizamo lakini baadaye wanarudi na kuwa kitu kimoja baada ya kushindana kwa hoja.

Nyarandu upo sahihi, ingawa na wewe uvumilivu wako wa kisiasa kwa kile unachokiamini unatia mashaka.
 
View attachment 2691975

Lazaro Nyalandu , Mwanaccm wa kwanza kujivua Ubunge kwa sababu ya kupinga Udikteta wa Magufuli wa kuteka , kutesa na kushambulia watu kwa risasi , ambaye baadaye alikimbilia Chadema na kupokelewa kwa heshima , na hatimaye kupewa Cheo kikubwa cha kuongoza Kanda ya kati , miezi kadhaa baada ya kurudi tena CCM ili kubahatisha cheo bila mafanikio , Amefunguka kuhusu wema wa Chadema.
Weka clip tujionee wenyewe wewe kibwengo😂
 
View attachment 2691975

Lazaro Nyalandu , Mwanaccm wa kwanza kujivua Ubunge kwa sababu ya kupinga Udikteta wa Magufuli wa kuteka , kutesa
Niseme ukweli, Lazaro alikuwa kweli mpenzi wa chadema, nami nilimamini kutoka moyoni mwangu kwa alivyoipenda chadema. Sijui kwanini alikengeuka! Most likely alidhani atapata uteuzi! Siku zinakwenda na hakuna matumaini , may be he is making a comeback. BUT NO WAY IN AGAIN PLEASE
Moses Kolowa aliwahi kusema "Mwamini Yesu peke yake"
 
View attachment 2691975

Lazaro Nyalandu , Mwanaccm wa kwanza kujivua Ubunge kwa sababu ya kupinga Udikteta wa Magufuli wa kuteka , kutesa na kushambulia watu kwa risasi , ambaye baadaye alikimbilia Chadema na kupokelewa kwa heshima , na hatimaye kupewa Cheo kikubwa cha kuongoza Kanda ya kati , miezi kadhaa baada ya kurudi tena CCM ili kubahatisha cheo bila mafanikio , Amefunguka kuhusu wema wa Chadema.

Nyalandu amenukuliwa akisema kwamba , "Wanachama wa Chadema wanakisapoti sana chama chao na wana upendo mkubwa sana miongoni mwao" , Ameendelea kufunguka kwamba jambo hili halimo ndani ya CCM ( Haifahamiki amekumbwa na nini )

Bali ikumbukwe kwamba hata Rais Mstaafu Jakaya Kikwete aliwahi kunukuliwa kwenye vikao vya Chama chake kwamba , "WANACCM HAWAACHIANI MAJI YA KUNYWA MEZANI " kwamba kama ukiacha maji yako kwenye kadamnasi ya chama hicho unaweza kuwekewa kitu kizito ndani yake , Ushahidi wa kuachiana maji mezani anao Phillipo Mangula .

Tutafakari sana Ujumbe huu wa Nyalandu .
Sasa ni muda wa kuchelewa wanakijani tuliowa karibisha kwa heshima ili kwa pamoja tulijenge taifa letu,wakitanguliza uchawa,na Kuwa wabomoaji wa chama chetu,na wabomoaji wa taifa letu kwa tamaa zao.Hatuwafukuzi wala hatuwakatai ila tunawaomba Kuwa walimu wa wanaccm wenzao na watanzania na Kuwa kwa pamoja tulijenge taifa letu.
 
Back
Top Bottom