jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
- Thread starter
- #61
mama mkapa hahusishwi na ufisadi kwa sababu tu ufisadi umefanywa na mumewe na pesa wanakula nyumbani!
mama mkapa ana husishwa na ufisadi wake mwenyewe. na mama kikwete ata husishwa na ufisadi wake mwenyewe kama anao.
sio kwa sababu umeolewa na fisadi ndio na wewe ujaziwe kashfa tele! sio haki hata kidogo.
na hasa ukizingatia kuwa kwa kesi hii walikuwa hawajaoana....kwa hiyo ndio kabisa HAHUSIKI na ufisadi huu uliofanywa na mtu ambaye baadae amemuoa
Mimi naona hata yeye kama ana taarifa anaweza kusema tu!
Kwani si mke na mume ndio wanashiriki kwenye maandalizi na hata kuwasiliana mambo yanavyokwenda?
Pia huyo dada ni Miss Tanzania...Tatizo ni wakati anatuwakilisha tunsema analiwakilisha taifa...Lakini hishma hiyo ghafla unamvuwa!?
Acha hizo!
Sasa turudi kwenye pointi...Hapa maelezo yanahitajika na tunamsubiri Nyalandu kwa maelezo na sasa mjadala uendelee!
Pia kumbuka kuwa hakuna aliyempa kashfa Miss Tanzania!
Mbona unatake personal?
Hapa tunazungumzia harusi yako na uache kuwa nyanyapaa wakina dada kwa kudhani kuwa ni wanaume tu wenye kuplay role kwenye majukumu ya ndoa.