Lawama dhidi ya Kikwete ni halisi ama tunacheza ngoma tusiyoijua?

Lawama dhidi ya Kikwete ni halisi ama tunacheza ngoma tusiyoijua?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,111
Kikwete ni rais mstaafu, hana jeshi wala hamiliki kikundi cha kigaidi. Kwann analalamikiwa kuhusu mwenendo wa uongozi wa nchi? Lawama anazopewa Kikwete anastahili ama ni chuki binafsi toka kwa wabaya wake?

Rais aliyeko madarakani analazimika kufuata maagizo ama ushauri wa Kikwete? Kama jibu ni HAPANA, kwann asilaumiwe anayepokea ushauri ama maagizo haramu toka kwa Kikwete?


Hizi lawama anazopewa Kikwete kila mahali, nje na ndani ya chama chake chanzo chake ni nini?

Na je, tuko tayari kuona Kikwete analibananga taifa kwa maslahi yake? Hadhibitiki mtu huyu?

Tusijekuwa tunachezeshwa ngoma tusiyoijua!!
 
Me nashangaa watu hofu zao badala hao wanaomchukia ndo wafurahie mzee umri unaenda na siku zake za kuishi zinakua chache..kwa sababu kama mnasema hamumpendi je amekula vingapi toka awe rais c NI vingi Sawa basi nachojua me binadamu ukishafika 70 Tu we hesabu anytime mara moyo sijui umeshtuka mara pressure hutoboi mzee..KIFO NI kifo
 
Yanini kujitesa nafasi wakati hatuishi milele yaani uumizwe roho na mtu ambaye unajua kbs Miaka 10 mbele huenda asiwepo.. chilling Tu kula maisha na ufurahie wewe na familia before hujarud kwa muumba kujibu mashataka
 
Kikwete ndiye anayeivuruga nchi na CCM.
Ndiyo tunataka tuelewe ni kwa vipi anavuruga nchi na ccm. Maana siyo rais wala mwenyekiti wa ccm. Anapitisha vipi ushawishi wake naajenda zake ktk taifa na ccm?
 
Na bado atawakula wote wazuri zuri huko

1754142328440.png
 
Unaweza kukuta mzee wa msoga anacheza na nyonyo za bi kilemba maana ni km yuko madarakani tu japo alisha pumzika
 
Kikwete anafanya hivyo kwa kuwa bi kilemba mwenyewe anataka na anaendekeza hivyo. Angelikuwa hataki Kikwete hana namna, angekuwa mpole kama enzi za jiwe.
Ukumbuke mzee ni masta wa kuzichapa unaweza kuta anakunjua kunyanzi pale kwa kilemba maamuzi yakawa yanatokea bed
 
Back
Top Bottom