Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Bwana Lau Masha yupo hewani yupo hewani sasa akihojiwa na Fina Mango...
Bwana Lau Masha yupo hewani yupo hewani sasa akihojiwa na Fina Mango...
hehehehe si angesema tu kuwa JK alipanda ndege kwenda Mwanza kujaribu kumhonga Wenje na kuiamuru tume igeeze matokeo bila mafanikio??
Anasema atarudi kwenye siasa kwa kishindo 2015 na kutoka kwenye siasa sasa hakujambadili maisha, na anampongeza sana JK kwa uongozi makini. Sasa amechagua kibao cha Nawashukuru wazazi wangu...
Huyu jamaa anadai aliwafanyia mambo makubwa sana wana Nyamagana!Tunamwomba arudi tena agombee ili akaombe tena msamaha kwa kushindwa tena kwa kishindo!
Jamani fina amerudi kutangaza? Lau masha nilishakutana nae club moja, nikawa nacheza na ad emu wake, nusura nikamege, akanichoropoka, ningeuwawa na jeshi la polisi
hahahaha.. hukujua kama ni demu wa masha..?
Mbona ugomvi wa mzee Masha na Nyerere si siri? Hawa walikuwa wanafanya njama za uasi ndani ya TANU na Mwalimu akawafukuzilia mbali kwa misingi kuwa kama huwezi kutoa maoni yako ndani ya vikao kwa nini uende nje uanze kuandaa uasi wa maamuzi yaliyokwishapitishwa?Alisema eti hakuna VITABU VYA KUELEZEA HISTORIA YA WANASIASA WA KITANZANIA...
TULIDHANI ATAANDIKA KITABU KUHUSU BABA YAKE MZEE FORTUNATUS MASHA kwanini alikosana na Mwl. Nyerere
akakimbia ubunge wake wakati ule alikuwa mbunge wa UVINZA? Kwanini wanaweka siri?