Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 501
- 1,025
Wakuu nauliza hawa LATRA alieanzisha aliiweka kwa niaba ya nani? Wafanya biashara wa magari au kwaniaba ya wananchi?
Mimi nina uhakika ipo kwaajili ya wafanya biashara wala si wananchi, kwasababu; mafuta yakipanda tu wafanyabiashara wanapiga kelele nauli ipande nao (LATRA) wanapandisha nauli.
Je, imeshawahi kutokea mafuta yameshuka bei wananchi wakalalamika na LATRA wakashusha bei? Au malalamiko ya wananchi hayawafikii yanafika ya wafanyabiashara wa magari tu? Au upole wetu unawapa jeuri wanatuchukulia sisi wananchi sawa na ng'ombe?
Na kuna watu walijitia wanathamin sana maslahi ya wananchi hapa wakasoma waraka kila jpili hivi hili nalo hawalioni? au kwa kuwa halina maslahi na wao?
Yaani nimeenda kukata tiketi leo ambapo nikilipa 25000 ikapanda ikafika 35000 sasa hivi 42000 na LATRA wapo kimya kama hawapo au wao wapo kwaajili ya wafanyabiashara tu?
Nawasilisha kwa uchungu kwasababu kuna wanaojifanya watetezi wa wananchi ila wao utetezi wao kwenye vitu vyenye maslahi na wao tu hawana ukweli wowote
Nawasilisha.
Mimi nina uhakika ipo kwaajili ya wafanya biashara wala si wananchi, kwasababu; mafuta yakipanda tu wafanyabiashara wanapiga kelele nauli ipande nao (LATRA) wanapandisha nauli.
Je, imeshawahi kutokea mafuta yameshuka bei wananchi wakalalamika na LATRA wakashusha bei? Au malalamiko ya wananchi hayawafikii yanafika ya wafanyabiashara wa magari tu? Au upole wetu unawapa jeuri wanatuchukulia sisi wananchi sawa na ng'ombe?
Na kuna watu walijitia wanathamin sana maslahi ya wananchi hapa wakasoma waraka kila jpili hivi hili nalo hawalioni? au kwa kuwa halina maslahi na wao?
Yaani nimeenda kukata tiketi leo ambapo nikilipa 25000 ikapanda ikafika 35000 sasa hivi 42000 na LATRA wapo kimya kama hawapo au wao wapo kwaajili ya wafanyabiashara tu?
Nawasilisha kwa uchungu kwasababu kuna wanaojifanya watetezi wa wananchi ila wao utetezi wao kwenye vitu vyenye maslahi na wao tu hawana ukweli wowote
Nawasilisha.