BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,501
- 5,695
Habari za muda huu.
Nawasihi na kuwaomba LATRA mkoa wa Pwani wake huku Mbagala stendi ya shamba, maana haya magari ya kwenda Mkuranga, Kibiti, Kimanzichana mpaka Rufiji wao wamejipangia nauli zao.
Mfano Jana abiria wa Kimanzichana Mbagala wamelipishwa nauli 4,000 wakati nauli Hali ni 3,100 tu.
Namba hii wanaifanya Serikali ionekane mbaya mbele ya wananchi kwa sababu zao.
Cc: Waione LATRA mkoa wa Pwani na LATRA makao makuu.
Nawasihi na kuwaomba LATRA mkoa wa Pwani wake huku Mbagala stendi ya shamba, maana haya magari ya kwenda Mkuranga, Kibiti, Kimanzichana mpaka Rufiji wao wamejipangia nauli zao.
Mfano Jana abiria wa Kimanzichana Mbagala wamelipishwa nauli 4,000 wakati nauli Hali ni 3,100 tu.
Namba hii wanaifanya Serikali ionekane mbaya mbele ya wananchi kwa sababu zao.
Cc: Waione LATRA mkoa wa Pwani na LATRA makao makuu.