Laptops and Mobile phones for sale

Laptops and Mobile phones for sale

dell n5110 corei7,6gb ram,500gb hdd,pamoja na gh probook,corei5,500gb hdd,4gbram
hp 620 notebook core13 processor 4gb ram .500gb hard disk,
hp 620 notebook dual core processor 2gb ram 320gb hard disk,
Dell. E5430, hard disk 500gb, 4gb ram, internal moderm
zote zina web cam na wifiii
mawasiliano 0719373606
tupo dsm
 
huwa najiuliza sana kwa nini matangazo mengi ya kibongo hayawekwi na bei??? Au ni moja ya marketing strategies.???
 
huwa najiuliza sana kwa nini matangazo mengi ya kibongo hayawekwi na bei??? Au ni moja ya marketing strategies.???

Hawajiamini wengi wanaona wakiweka bei wanahisi bei walizopanga ni za juu sana au chini sana
 
Mara nyingi hawa huwa ni madalali so huwa hawaweki bei ili wenye mzgo asijue kama kapga cha juu!..
 
huwa najiuliza sana kwa nini matangazo mengi ya kibongo hayawekwi na bei??? Au ni moja ya marketing strategies.???

Wabongo biashara zao nyingi ni ujanja ujanja tu.Kitu cha laki moja anakuambia laki sita. Anataka mtu amPM ili ambambike bei maana akiiweka wazi hapa wapo wanaofahamu watashtuka
 
Kama huweki bei, inamaana gani ya kuweka tangazo?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
HP zinasumbua sana,hebu tutafuta DELL kaka.
 
Hp ni laptoo nxuri sana labda kama ulinunua k.koo kwa wasomali
 
Hp ni laptoo nxuri sana labda kama ulinunua k.koo kwa wasomali

No, sikununua kwa Wasomali, niliinunua kwa agent pale Kisutu. Nimekaa nayo tangu 2008, ila jamaa yangu fundi alisema kwamba processor nyingi za HP (AMD Turion) zimetegenezwa kwa ajili ya mazingira ya baridi, hivyo kwenye joto kama kwetu huku hazidumu sana. Labda shida inaweza kuwa hapo! Ila it was excellent. Hata hivyo nimeisotesha sana kwenye deiwaka, ina haki ya kufa.
 
No, sikununua kwa Wasomali, niliinunua kwa agent pale Kisutu. Nimekaa nayo tangu 2008, ila jamaa yangu fundi alisema kwamba processor nyingi za HP (AMD Turion) zimetegenezwa kwa ajili ya mazingira ya baridi, hivyo kwenye joto kama kwetu huku hazidumu sana. Labda shida inaweza kuwa hapo! Ila it was excellent. Hata hivyo nimeisotesha sana kwenye deiwaka, ina haki ya kufa.
2008 Mpaka leo bado unaona haijadumu? Unataka Laptop Ikae miaka mingapi? AMD ni cheap processors, kwahiyo performance na life span yake haiwezi kuwa sawa na intel. Hatahivyo imejitahidi. Hiyo ya mazingira ya joto sio kweli. Hata ulaya kuna joto wakati wa summer, kampuni kama AMD haiwezi kufanya upuuzi wa kutengeneza winter only processor. Labda angekwambia the type of silicon used ndio haihifadhi joto vizuri na kufanya processor kuchemka kama rejeta ya gari...

Kuhusu wafanya biashara wanaopost matangazo bila bei, ni kutojiamini na ubabaishaji... Wanataka mambo ya kubargain na kuwabambikia wasiojua...wanaona wakiweka hapa hadharani wanaojua watakosoa na pengine kutoa muongozo wa wapi bidhaa zinapatikana kwa bei nzuri zaidi.
 
Pole sana...ila karibu tufanye biashara... hutojuta tena....utapata na ushaur wa kitaalamu wa kutunza laptop
 
dell latitude E5430, hdd 500gb, ram 4gb, core i5, spedy 2.5ghz,webcam,internal modem,fingprt,blutoth bei 900
hp 630, hdd 500gb,ram 4gb, core i3 procesor,sped 2.53ghz,web,blutoth,bei 800
Kuna sumsung hdd 500gb ram 4gb,procssr core i5 2.5ghz bei 850
zote mpya....
piga 0719373606
au private msg
au email thejoseec@gmail.com
 
Matangazo unafanya siri wewe umeweza kuweka ufanisi wake umeshindwa kutamka bei mpaka upige simu au hiyo ni toll free call?achana na umachinga wakizamani weka bei kama umepandisha watu wakuchane live.
 
hp 620 notebook core13 processor 4gb ram .500gb hard disk,
hp 620 notebook dual core processor 2gb ram 320gb hard disk,
Dell. E5430, hard disk 500gb, 4gb ram, internal moderm
zote zina web cam na wifiii
mawasiliano 0719373606
tupo dsm

Mkuu una Display ya dell insip.5050?
 
Back
Top Bottom