kwa sasa sina mkuuMkuu una Display ya dell insip.5050?
Mkuu unahofia nini kuweka bei?pia kuna dell n5110 corei7,6gb ram,500gb hdd,pamoja na gh probook,corei5,500gb hdd,4gbram
bei ni maelewano kati yangu na mreja....anaeitaji always ananitafutaga na tunafanya biashara
No, sikununua kwa Wasomali, niliinunua kwa agent pale Kisutu. Nimekaa nayo tangu 2008, ila jamaa yangu fundi alisema kwamba processor nyingi za HP (AMD Turion) zimetegenezwa kwa ajili ya mazingira ya baridi, hivyo kwenye joto kama kwetu huku hazidumu sana. Labda shida inaweza kuwa hapo! Ila it was excellent. Hata hivyo nimeisotesha sana kwenye deiwaka, ina haki ya kufa.
0719373606
laptpo zinauzwa kwabei poa
hp pro-book i5,500gb hdd ,4gb ram
dell i7 500gb hdd ,4gb ram,
hp notebook core i3,500gb hdd ,4gb ram,
piga simu 0719373606