Laptops and Mobile phones for sale

Laptops and Mobile phones for sale

Mimi nahisi tangazo lako halijajitosheleza
napendekeza uongeze yafuatayo
1. Hizo laptop ni mpya au used
2. Wewe unapatikana wapi ( Dar?)
3. Kama mtu wa mikoani akipenda atapataje? upo tayari kumtumia?
4. Weka picha ili kuvutia wateja
5. Toa bei halisi unayo uzia au basi bei ya kuanzia
.... mwisho nsio uweke nmba ya simu

Biashara za kubishana na kupunguziana zimepitwa na wakati.. siku hizi wateja wanataka net ( net price)
ILA kama wewe ni dalali; jaribu bahati yako
 
weka bei!
laptpo zinauzwa kwabei poa hp pro-book i5,500gb hdd ,4gb ram dell i7 500gb hdd ,4gb ram, hp notebook core i3,500gb hdd ,4gb ram, piga simu 0719373606 bei maelewano
 
laptpo zinauzwa kwabei poa hp pro-book i5,500gb hdd ,4gb ram dell i7 500gb hdd ,4gb ram, hp notebook core i3,500gb hdd ,4gb ram, piga simu 0719373606 bei maelewano
heheheeee kaaazz kwel kwel :nimekataa:nimekataa
 
laptpo zinauzwa kwabei poa hp pro-book i5,500gb hdd ,4gb ram dell i7 500gb hdd ,4gb ram, hp notebook core i3,500gb hdd ,4gb ram, piga simu 0719373606 bei maelewano

Not serious....
 
Not serious....
tatizo watu wengi wanapenda kuchati....am serious mkuu...wanaoitaji laptop huwa wananitafuta na nafanya naobiashara....mashine zangu ni mpyaaaaa
na bei ni maelewano kati yangu na mteja.
then hapa naweka hizo kama sample....zipo nyingi sana...so mteja akinitafuta naelewana nae..nampa laptop
 
tatizo watu wengi wanapenda kuchati....am serious mkuu...wanaoitaji laptop huwa wananitafuta na nafanya naobiashara....mashine zangu ni mpyaaaaa
na bei ni maelewano kati yangu na mteja.
then hapa naweka hizo kama sample....zipo nyingi sana...so mteja akinitafuta naelewana nae..nampa laptop
Biashara za "kamongo umemfanya nini pigili" nilishaachana nazo, Kama hutaki kuweka bei kaana nazo!
Kuanzio hata thread zako sitapoteza muda kufungua!
 
laptpo zinauzwa kwabei poa
hp pro-book i5,500gb hdd ,4gb ram
dell i7 500gb hdd ,4gb ram,
hp notebook core i3,500gb hdd ,4gb ram,
piga simu 0719373606
halafu ndugu wewe una matatizo gani na matangazo yako ya biashara,si mara moja hapa jamvini unaambiwa uweke bei,kwani wewe hujui kama unauza kwa nini huweki bei hizo specs hatuzihitaji maadamu umeweka brand name na model tutagoogle na kujua hizo specs ,lakini hatuwezi google unayotaka wewe na huo muda wa kuanza na gharama za kukupigia simu utazilipa iwapo hatujaafikiana bei ambayo umeifanya siri?kila mara piga simu ,piga simu .
 
Huyu anataka tumuone face to face atubake!
Umenoa hapa.
Sikupigii wala sikutafuti
 
hah hah hah...Mbona hujiamin kuweka price za biashara yako mkuu...?
 
Huna nia ya kuuza wewe watu wanaweka bei za nyumba na magari kwenye forum sembuse laptop unaona deal kubwa!!!
 
tatizo watu wengi wanapenda kuchati....am serious mkuu...wanaoitaji laptop huwa wananitafuta na nafanya naobiashara....mashine zangu ni mpyaaaaa
na bei ni maelewano kati yangu na mteja.
then hapa naweka hizo kama sample....zipo nyingi sana...so mteja akinitafuta naelewana nae..nampa laptop

Kila la kheri bhana...... ukiweka price list yako inakuwa rahisi mtu kufanya decisions.... sasa hapa wewe unafanya kama biashara ya Bangi.
 
wakuu mnalalamika sana//ila mnunuaji lazima anitafute...anayeitaji hapigi makelele
 
imebaki dell na hp
dell insipiron i7,6gb ram 500gb hdd
hp core i3,500gb hdd,4gb ram,
piga simu 0719373606
 
dell inspiron core i7,2.5ghz.6gb ram,500gb hard disk...price 980,000
hp notebook core i3,23ghz,4gb ram ,500gb hdd..price 750,000
all are brand new,,price also are negotiable..
mob number/contact 0719373606
 
tunauza laptop zifuatazo
dell inspiron N5110,processor intel core 17,2.5ghz,..ram 6gb, harddisk 500gb,ina bluetooth,webcam,premium sound..
hp notbook, intel core 13, ram 4gb, haddisk 500gb,...
zote ni mpyaaa
piga simu 0719373606
 
Back
Top Bottom