Laptops and Mobile phones for sale

Laptops and Mobile phones for sale

kaa kawaida..kuna product za ukweli..kuna hp,del,lenovo,na nying tu kama toshiba and accer kwa bei poa....
piga 0719373606 kuuliza unachoitaji kwa bei poa...au beeep utapigiwa
 
Iphne 4s,imeunlokiwa,ina headphone
bei 950,000
piga 0719373606
 
Jina sahihi ni (iPhone 4S) na sio Iphone 4s wala Iphne 4s,,ila kivyovyote vile ujumbe umefika, thejosec hiyo Unlock ni Factory Unlock au Temporary Unlock? Na Scratches zipo kiasi gani? Color? used how long? Na picha ikiwezekana
 
Tafuta kazi kwanza wewe ndo uje baadae na hayo mawazo.Au unatoka familia ya kifisadi nini
 
Nataka kuunga master nipate na sponser,nifanyeje?

acha taama ya elimu imalisha kwanza elimu uliyonayo upate challenge then utajua nini cha kusomea masters coz siku hizi watu anasoma kwa sifa tu then akirudi kazini anaona alichosoma hakina maana na kuamua kuchukua fani nyingine na wengine wanachanganyikiwa kabisa.
 
Swali ni kwamba nimeomba ushauri kwamba nisome mastarz or nisisome...nimesema nifanyeje ili nipate master na sponser..napenda ushaur wote uegemee pande izo
 
Ivi inakuaje chanel ipo digital then inachenga? Chanel kama atn kwa kingamuz cha startymes ful chenga,plus mliman tv..then tbc 2 na clouds zina saut ndogo? Je ni tech inawakimbiza au hawana wataalamu na vifaa?
 
Swali ni kwamba nimeomba ushauri kwamba nisome mastarz or nisisome...nimesema nifanyeje ili nipate master na sponser..napenda ushaur wote uegemee pande izo

ukikuwa utawaelewa waliokuchalenj apo juu.
 
Back
Top Bottom