picha? Kwanin usiseme uletewe uione?
picha? Kwanin usiseme uletewe uione?
..Akitoka kwako aniletee nilipo huku HUNGUMALWA nami niioneniletee Mtwara huku niione kana unaona kuweka picha na bei ni ishu:
Kwa hiyo betri ikiisha ndio mwisho wa safari au?Mambo iko galaxy bwana simu gani hizo hata kubadili battery huruhusiwi
ukiona hivyo ujue utakufa wewe na sio battery!!!Mambo iko galaxy bwana simu gani hizo hata kubadili battery huruhusiwi
ukiona hivyo ujue utakufa wewe na sio battery!!!
Hiyo itakuwa ya kichina double line. Toka lini iphone 4s laki saba. Au ya wizi? Kwani hata kama umefulia hujionei huruma umenunua simu milioni moja laki nane uiuze kwa laki saba?
ni kweli unavyosema mkuu, ila wadau wanashindwa kuamini kutokana na bei yako hiyo, kamavp weka hapa screenshot ya "About Screen" kwenye setting-general-about, ili angalau tuhakikishe ni OG kupitia SN yake from Apple Website,,,siku nyingine mkitaka kutukana na kubishana anzishen thread yenu ya matusi....kama huna hela ya kununua ...kaa pembeni......wenye hela wanachukua.....na kama huju products uliza uambiwe....hatuendelei kwakua tunapenda kubishana kuliko kuelimishana.....acheni utoto.....jamii forum is home of great thinker....if unajijua huna vigezo..jitoe au kuwa mwagaliaji tu...sio lazima kila kitu utoe coment