Laptop gani ni nzuri kwa ajili ya engineering studies?

Laptop gani ni nzuri kwa ajili ya engineering studies?

usidanganyike na brand kwenye kuchagua pc, zipo tu sub brand maarufu kama thinkpad(lenovo), alienware (dell), envy (hp), rogue (asus) etc hizo subrand zina purpose zake.,

cha muhimu ni kuangalia specs na sio brand.
mkuu ina maana hata aina hii inaweza pia ku-hold programme kubwa za video editing na movies pia?

Au hawa jamaa wa Hollywood wanachaguaji computer za kufanyia kazi?

Naomba msaada hapo!
 
mkuu hio ni 1st gen itakusumbua hasa upande wa gpu
Vipi upande wa autocad mkuu na je umeitambuaje kama ni 1st maana mimi natafuta sehemu iliyoandikwa i5-1*** kama ulivyoelekeza namna ya kutambua generation ya intel core lakini sioni
 
Vipi upande wa autocad mkuu na je umeitambuaje kama ni 1st maana mimi natafuta sehemu iliyoandikwa i5-1*** kama ulivyoelekeza namna ya kutambua generation ya intel core lakini sioni
nimeigoogle mkuu dell 6410 i5,

pia ukiona i5 xxxx unajua ni generation ya ngapi, generation ya kwanza haianzi na moja na inakuwa mfumo wa mamia, generation ya pili kuendelea ipo mfumo wa maelfu.

mfano i5 520M au M520 ni first gen
wakato i5 2520M ni 2nd gen

ikiwa i5 520 ni first gen
ikiwa i5 5200 ni 5th gen

hope umeelewa,

kuhusu autocad itakusumbua mkuu hasa workload kubwa gpu ndogo na single thread perfomance ya kawaida. ile i3 niliokushauri wakati unaanzisha hii thread mwanzo inapita hii i5 vibaya vibaya, kwenye gpu ni karibu asilimia 600 hadi 700 faster kuliko hii i5.
 
nimeigoogle mkuu dell 6410 i5,

pia ukiona i5 xxxx unajua ni generation ya ngapi, generation ya kwanza haianzi na moja na inakuwa mfumo wa mamia, generation ya pili kuendelea ipo mfumo wa maelfu.

mfano i5 520M au M520 ni first gen
wakato i5 2520M ni 2nd gen

ikiwa i5 520 ni first gen
ikiwa i5 5200 ni 5th gen

hope umeelewa,

kuhusu autocad itakusumbua mkuu hasa workload kubwa gpu ndogo na single thread perfomance ya kawaida. ile i3 niliokushauri wakati unaanzisha hii thread mwanzo inapita hii i5 vibaya vibaya, kwenye gpu ni karibu asilimia 600 hadi 700 faster kuliko hii i5.
Poa chief thanks,je na hiyo gpu inamaana gani
 
Wakuu habar zenu,nasomea automobile engineering naomba kufahamishwa ninunue laptop yenye uwezo gani na brand gani ambayo itakidhi shughuli zote za masomo yangu.Nina bajeti ya 400000/= na kama itanibidi niongeze pesa ili nipate laptop itakoyanifaa zaidi nipo tayar kuongeza.
Hiyo hela gani na maswali yote hayo?
 
Tafuta dell XPS 13...utaipenda mwenyewe..potable with high performance
 
usidanganyike na brand kwenye kuchagua pc, zipo tu sub brand maarufu kama thinkpad(lenovo), alienware (dell), envy (hp), rogue (asus) etc hizo subrand zina purpose zake.,

cha muhimu ni kuangalia specs na sio brand.
Mkuu unaposema huna haja ya kuangalia brand ina maana Toshiba ni sawa na dell au ni sawa na apple???!
 
Mkuu unaposema huna haja ya kuangalia brand ina maana Toshiba ni sawa na dell au ni sawa na apple???!
ndio mkuu kwa pc oem kama dell na Toshiba wana kazi ndogo sana ndio maana unaweza tengeneza mwenyewe computer yako na ikawa nzuri kushinda iliyotengenezwa na Hp au dell. kila kitu ndani ya pc kinauzwa na watu wale wale wana vitu vichache sana vya kujitofautisha, kuanzia cpu, ram, hdd, motherboard, power supply, display etc ni vile vile vinatumika na watu wote.

unachotakiwa wewe mtumiaji wa kawaida ni kuangalia unahitaji nini kwenye computer yako upande wa specification, kisha uangalie na mambo mengine kama support (ikiharibika), build quality (umbo la nje) etc

kwa Oem kama apple wao wana advantage ya mac os ila kwengine ni vile vile,

zipo laptop za kisasa zinaitwa ultrabook hizi vitu vingi vinakuwa vimechomelewa na watumiaji wake huwa mara nyingi hawaangalii specification bali huangalia uzuri wake, wepesi wake, display yake etc hizi ndio unaweza chagua brand lakini still ni niche market
 
Poa chief thanks,je na hiyo gpu inamaana gani
gpu ni kifupi cha graphics processing unit, ni kifaa ndani ya computer ambacho kazi yake kinadeal na vitu vinavyoonekana kama vile picha, video, etc

mfano kwa kazi yako ya autocad utakapokuwa uatengeneza zile 3d model ni gpu ndio itakayokuwa inafanya kazi,
 
gpu ni kifupi cha graphics processing unit, ni kifaa ndani ya computer ambacho kazi yake kinadeal na vitu vinavyoonekana kama vile picha, video, etc

mfano kwa kazi yako ya autocad utakapokuwa uatengeneza zile 3d model ni gpu ndio itakayokuwa inafanya kazi,
Yangu inaniambia ina gpu ya 2500 kama sikosei...je nawezA ibadilisha??

Nb ni dell vostro na ina i3 second generation with 6gb ram
 
Yangu inaniambia ina gpu ya 2500 kama sikosei...je nawezA ibadilisha??

Nb ni dell vostro na ina i3 second generation with 6gb ram
Huwezi mkuu hio ni gpu ya ndani ya processor, kwa laptop ambazo hazina thunderbolt 3 huwezi kueka gpu nyengine ni hio hio inayokuja na laptop ndio utakayotumia
 
Back
Top Bottom