Laptop gani ni nzuri kwa ajili ya engineering studies?

Laptop gani ni nzuri kwa ajili ya engineering studies?

nunua pc yeyote tu iwe na RAM kubwa maana kuna masoftware kibao kama pc yako ni ndogo yatachukua hata nusu saa kufungua mfano SOLIDWORKS
 
kama laptop ni laptop mbona zipo za laki 4, za laki 5 za milioni, za milioni mbili etc, kwanini nyengine huuzwa ghali na nyengine huuzwa bei rahisi? nini husababisha hivyo?


ni mbwembwe tu za kibiashara bwana mdogo, kuna vitu basic vinatakiwa viwe kwenye laptop ili iitwe laptop...vingine ni mbwembwe za manufacturers kuteka soko NDIO MAANA UNAONA BEI TOFAUTI.. ENGINEER LAPTOP ANATUMIA KUSAVE DOCUMENTS NA SOFTWARE ..... SASA NAOMBA NITAJIE LAPTOP ZA MAENGINEER NA ZISIZO ZA MAENGINEER
 
ni mbwembwe tu za kibiashara bwana mdogo, kuna vitu basic vinatakiwa viwe kwenye laptop ili iitwe laptop...vingine ni mbwembwe za manufacturers kuteka soko NDIO MAANA UNAONA BEI TOFAUTI.. ENGINEER LAPTOP ANATUMIA KUSAVE DOCUMENTS NA SOFTWARE ..... SASA NAOMBA NITAJIE LAPTOP ZA MAENGINEER NA ZISIZO ZA MAENGINEER
Naona roho inakuuma kweli ukisikia "injinia"!!
 
ni mbwembwe tu za kibiashara bwana mdogo, kuna vitu basic vinatakiwa viwe kwenye laptop ili iitwe laptop...vingine ni mbwembwe za manufacturers kuteka soko NDIO MAANA UNAONA BEI TOFAUTI.. ENGINEER LAPTOP ANATUMIA KUSAVE DOCUMENTS NA SOFTWARE ..... SASA NAOMBA NITAJIE LAPTOP ZA MAENGINEER NA ZISIZO ZA MAENGINEER
Mbona unatokwa povu ivo mkuu, Pc za engineering nyingi zao ni Gaming ambazo performances yake ni kubwa ili iweze kuhandle software kama AUTOCAD,MaTLAB NA SIMULATION SOFTWARE, unaumia sana ukisikia injinia eeh?
 
Nyinyi ndo wapumbavu wa taifa letu mnaosema elimu ni kwa faida yako mwenyewe mana umesema utendaji ni juu yake ili inchi iwena maendeleo nilazima tukatae kuwa elimu ni kwafaida yako binafsi huo ndo msingi wa ufisadi na ndo mana serikali inakataa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote kwa kuwa INA akili kama zako laiti ingejua kuwa elimu inatakiwa kuwa kwa faida ya taifa isingefanya hivyo
Hapa tunazungumzia computer /laptop nzuri kwa ajilo ya Automobile Engineering Studies mkuu, jukwaa la siasa na sera za elimu nadhani lipo.
 
ni mbwembwe tu za kibiashara bwana mdogo, kuna vitu basic vinatakiwa viwe kwenye laptop ili iitwe laptop...vingine ni mbwembwe za manufacturers kuteka soko NDIO MAANA UNAONA BEI TOFAUTI.. ENGINEER LAPTOP ANATUMIA KUSAVE DOCUMENTS NA SOFTWARE ..... SASA NAOMBA NITAJIE LAPTOP ZA MAENGINEER NA ZISIZO ZA MAENGINEER
na hizo software hufanana sio? laptop yoyote inarun hizo software? tuoneshe kwa vitendo basi download Hata adobe after effects halafu load project ya 4k kwenye hio laptop ya kawaida tuone inavyofanya kazi, halafu urikodi video ueke hapa
 
Wakuu habar zenu,nasomea automobile engineering naomba kufahamishwa ninunue laptop yenye uwezo gani na brand gani ambayo itakidhi shughuli zote za masomo yangu.Nina bajeti ya 400000/= na kama itanibidi niongeze pesa ili nipate laptop itakoyanifaa zaidi nipo tayar kuongeza.
9b4dd6b1032e8156c1abf6483e29ea4e.jpg
eeb25a368913e55b95a5db58ae97a249.jpg
a1e7863079ab020887604526e6d9d43c.jpg
 
na hizo software hufanana sio? laptop yoyote inarun hizo software? tuoneshe kwa vitendo basi download Hata adobe after effects halafu load project ya 4k kwenye hio laptop ya kawaida tuone inavyofanya kazi, halafu urikodi video ueke hapa
Mkuu

Laptop nimeweka picha hapo chini, hizi ndio aina za laptop kwa ma engineering, artists. .na wengine, zina uwezo mkubwa sana katika kuchapa kazi, unajua software za engineering ni kubwa sana,kwa laptop ya kawaida ni kuiyumiza. .. Pia hizi kwa mu undo wake hata ikianguka iko powa. Zipo mpaka simu za ma engineering, waterproof hataiingie kwenye tope or some kemikal
 
Mkuu

Laptop nimeweka picha hapo chini, hizi ndio aina za laptop kwa ma engineering, artists. .na wengine, zina uwezo mkubwa sana katika kuchapa kazi, unajua software za engineering ni kubwa sana,kwa laptop ya kawaida ni kuiyumiza. .. Pia hizi kwa mu undo wake hata ikianguka iko powa. Zipo mpaka simu za ma engineering, waterproof hataiingie kwenye tope or some kemikal
panasonic toughbook nazifahamu za watu wa field kama wanajeshi, macontractor etc sema bei zake nazo zimesimama laptop ya kawaida ya specs za dola 500 wao wanauza dola 1500 hadi 2000, mara nyingi ni serikali au makampuni makubwa ndio hununua hizo.
 
panasonic toughbook nazifahamu za watu wa field kama wanajeshi, macontractor etc sema bei zake nazo zimesimama laptop ya kawaida ya specs za dola 500 wao wanauza dola 1500 hadi 2000, mara nyingi ni serikali au makampuni makubwa ndio hununua hizo.
Hata watu wa kawaida mafundi hutumia sana, it's cost about 350 pounds used new kuanzia 800-1500 pounds

Angalia eBay unaweza kupata majibu
 
Hata watu wa kawaida mafundi hutumia sana, it's cost about 350 pounds used new kuanzia 800-1500 pounds

Angalia eBay unaweza kupata majibu


specs gani mkuu? umeona laptop nilioeka mwanzo kabisa? ile ni 4th gen ina HD 4600 ambayo sio mbaya kwenye AUTOCAD. na unaipata 450,000 used hapo hujaongea.

toughbook ya 4th gen hata ebay nadra kuikuta chini ya dola 1000

Panasonic Toughbook CF-53 14" (320GB, Intel Core i5 4th Gen., 2GHz, 4GB) Notebook - Silver - CF532JCZYCM | eBay

cheki hapo mwenyewe.

hizo za bei rahisi ni generation ya zamani za kina core 2 duo au i3/i5/i7 za kizamani ambazo kwa software za sasa zitazingua
 
na hizo software hufanana sio? laptop yoyote inarun hizo software? tuoneshe kwa vitendo basi download Hata adobe after effects halafu load project ya 4k kwenye hio laptop ya kawaida tuone inavyofanya kazi, halafu urikodi video ueke hapa

naona unatoka nje ya mada kiongoz .... labda nikuulize adobe after effects ina umuhimu gan kwa mtu anaesoma engineering inamsaidia kufanya nini?
 
naona unatoka nje ya mada kiongoz .... labda nikuulize adobe after effects ina umuhimu gan kwa mtu anaesoma engineering inamsaidia kufanya nini?
1. wewe umesema laptop ni laptop just nimetoa mfano tu hapo

2. tuje hizo software za engineer huwezi ukanunua laptop ya atom utegemee uitumie kwenye AUTOCAD, hautafanya lolote.

AUTOCAD ni single threaded App kwenye website yao wameandika kabisa

Multithreading and multiprocessor capabilities in AutoCAD | AutoCAD | Autodesk Knowledge Network

hivyo kama ni single threaded inamaana
-pentium na celeron za atom hazitafanya kazi vizuri
-i3/i5/i7 za U (15w version) hazitafanya vizuri labda za kuanzia 6th gen

hivyo hapa utahitaji i3/i5/i7 za M au quad version za MQ na HQ ambazo zina watts 35 kupanda.

3. pia unatakiwa ujue laptop ya kawaida haiji na dedicated gpu, na baadhi ya laptop za kawaida gpu zake dhaifu kushinda hata simu, hivyo utamodel vipi hizo 3d object na gpu dhaifu kama hio?

kwenye requirement autodesk wameandika kabisa utahitaji workstation class gpu (quadro ya nvidia na fire pro ya amd) kama unataka kudeal na 3d graphics kubwa, mkuu kuna laptop ya kawaida yenye workstation gpu?

System requirements for AutoCAD 2016 | AutoCAD | Autodesk Knowledge Network

4. kwenye hizo requirements hapo juu kumeandikwa kabisa unatakiwa uwe na display kuanzia 1600x1050 ambayo ni almost full HD, laptop za kawaida ni 1300x768, atafanyaje hapa huyo engineer?

5. tusiandikie mate download autocad fanya modeling ya 3d kwenye hio laptop ya kawaida record video tuma hapa tuone jinsi ilivyo faster kwenye laptop ya kawaida
 
naona unatoka nje ya mada kiongoz .... labda nikuulize adobe after effects ina umuhimu gan kwa mtu anaesoma engineering inamsaidia kufanya nini?
pia after effect inatumiwa na ma engineer, wanapresent vipi data zao za motion? leo hii umepata tenda unatakiwa ukaipresent kwa wawekezaji after effect haihusiki?
 
naona unatoka nje ya mada kiongoz .... labda nikuulize adobe after effects ina umuhimu gan kwa mtu anaesoma engineering inamsaidia kufanya nini?
Mkuu vipi? Dunia ya sasa hivi almost kila mwenye nia ya kuwasiliana kikamilifu inabidi at least ajue basics za video editing maana ndiyo njia fanisi ya kuwasilisha ujumbe.
Kwa mwanasayansi yeyote wa leo huwezi kuuza teknolojia yako bila kuwa na live demo au video demo. Mfano kwa Automotive Engineer baada ya kufanya simulation software nyingi za simulation zina option ya ku-export matokeo kwa mfumo wa video footage ambayo huwa na size kubwa, hivyo basi Engineer huyu atahitaji zaidi ya After Effects na Adobe Premiere kwa ajili ya compression, color grading, Narration, na VFX nyingine muhimu kama Lower thirds kwa ajili ya utambulisho.
 
Mbona autocad ni ya kitoto tu, civil engineer computer yake inahitajika iwe na autocard, archicard, master series, robot, atlantis. Hiyo ndo computer yangu
 
huwa laptop za games ndio hizo hizo za engineer, bei zake ni mamilioni ya hela, sababu budget ni tight tafuta used laptop za 4th generation ambazo cpu zake zinaishiwa na m au qm na hq unazipata around 500,000 inaweza shuka kidogo au kupanda kidogo. angalia kupatana.
Mkuu nimepata hii DELL LATITUDE E6410 intel core i5.Vipi hii itafaa?
5c97943dccb3deb33d51af7c594ce93d.jpg
d1cb933207671c18211b6fe9783731e4.jpg
f6c8ecefbc6b7589fe96844bf53d0492.jpg
 
Back
Top Bottom