HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 647
- 841
Habar ,
Kuna ndugu yangu anasoma Mechanical Engineering so ameniambia wanahitajika kuwa na laptop kulingana na course yao husika
Hivyo basi nimekuja kwenu kuuliza
Ni laptop aina ipi na yenye sifa zipi na ikiwezekana na bei yake kwa hapa Tanzania kwa Mwanafunzi wa Mechanical engineer.
Natanguliza shukran
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kuna ndugu yangu anasoma Mechanical Engineering so ameniambia wanahitajika kuwa na laptop kulingana na course yao husika
Hivyo basi nimekuja kwenu kuuliza
Ni laptop aina ipi na yenye sifa zipi na ikiwezekana na bei yake kwa hapa Tanzania kwa Mwanafunzi wa Mechanical engineer.
Natanguliza shukran
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app