๐น๐น๐น Mataahira wetu wanaogombea kendre za JF wananiandama nikiwapa ukweli..!!Kuna nini kipenzi?
Ningeshangaa shem kwa pesa zote zile safari za local tu anakupandisha mwewe ndo ashindwe kununulia nguo nzuri..!! ๐น๐น๐น๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃjmn
Baby wangu ananitunza nitavaaje matambar ya deki
Usibishane nao watakupaka mavi ๐๐ kumbuka hawana haya hao๐น๐น๐น Mataahira wetu wanaogombea kendre za JF wananiandama nikiwapa ukweli..!!
๐น๐น๐นWakunya boga ni huyu hivo visenene vitapasuka ๐คฃ๐คฃView attachment 3579198
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNingeshangaa shem kwa pesa zote zile safari za local tu anakupandisha mwewe ndo ashindwe kununulia nguo nzuri..!! ๐น๐น๐น
Nilitaka nimpigie hapa nimkanye ๐คฃ
Kuwa na adui aliyepooza kama uji wa magimbi inatia uvivu huna jipya..!! ๐ฎUmeishiwa cha kujibu au unahofu kila unachoandika hakieleweki. Std 7?
Wanalazimisha niwape kiki afu nimegoma wana hasira kweli ๐น๐น๐นUsibishane nao watakupaka mavi ๐๐ kumbuka hawana haya hao
Najivunia kwamba mechi niliichezesha bila upendeleo.Lamomy japo sijui kwa nini ulipigwa Ban ili nimesikitika sana kipindi upo kifungoni juzi Kasongo wa Jf ELI COHEN EliNyahu alikuomgele vibaya na kukukandia .
Mimi sikuvumilia Kasongo kupambana na mtu ambaye hayupo nikanunua ugomvi nikaanzisha bonge la Vagi refa alikuwa secretarybird mpaka Kasongo akakimbia .
Kwa vile umerudi Kasongo ELI COHEN sio wa kumuacha hivi hivi , mimi nitasimamia shoo ashughulikiwe kisasawa , japo kanikimbia na kuniIgnore baada ya mashambulizi yangu ila bado nina usongo na Kasongo
Aje nimpige kwa mkia wangu wa mbele niliourithi kutoka kwa baba yangu.secretarybird hivi ulisema bado unatafuta wa kuwaonyesha alichokurithisha baba yako?
Kuna mlupo hapa unahitaji huduma..!! ๐น๐น
Naona mmerudi pamoja na poyoyo wa JF Dennis Robert ShughuruWashamba milupo hiyo inakimbilia kwa mods ๐น๐น๐น
Ule Uzi wamenipa ban bana dah!! Sitaki kuamini naogopwa kiasi hiki?? ๐คฃ๐น๐น
Umeshakosea tena, mimi sio adui yako. Tafuta maana ya aduiKuwa na adui aliyepooza kama uji wa magimbi inatia uvivu huna jipya..!! ๐ฎ
Aje kabisa na mafuta laini kwa maana sitakuwa na huruma kwa kuwa mimi si bwana yesu.we mpuuzi mume kafika njoo tuchome ubani ukashinde na khanga moja uache kuniwaza..!! ๐น๐น๐น
๐คฃ๐คฃ๐๐น๐น๐น Mataahira wetu wanaogombea kendre za JF wananiandama nikiwapa ukweli..!!
๐น๐น๐น๐น mpake povu la omo ila akasimulie ukoo wake wote wa kunguni wachafu..!!Aje kabisa na mafuta laini kwa maana sitakuwa na huruma kwa kuwa mimi si bwana yesu.