libent
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 382
- 84
Daaah, nshakuona, nakuja. Bye kipipi akija wifi mwambie nimepata zali la mentali!
Muage kabisa na mama mwambie hutarudi leo mpaka kesho asubuhi asije akapata wasiwasi
Daaah, nshakuona, nakuja. Bye kipipi akija wifi mwambie nimepata zali la mentali!
Khaaa! Umeomba kwa huruma!...lol.
Bana ataniagia kipipi, mie nikimuaga ntachapwa afu ntashindwa kuja.Muage kabisa na mama mwambie hutarudi leo mpaka kesho asubuhi asije akapata wasiwasi
Akuhurumie nani?Dah....sijui nitahurumiwa vile.....lol!!
Bana ataniagia kipipi, mie nikimuaga ntachapwa afu ntashindwa kuja.
Sio wewe uliye nikimbia kaunta wakati umekunywa vinywaji vyangu wewe nikikutia mikononi
Hehehe! Bahati ilioje hii? Twenzetu libent!
Umeona? Bora nisimuage kabisa... Nipo form two B!Halafu nina wasiwasi Kipipi atakuchongea kwa mama ataanza oh SL katoka na mwanaume halafu kasema atalala hukohuko. Halafu usiwe na wasiwasi akikufukuza niko tayari kushi na wewe au haujamaliza shule
Wewe, sitaki kuamini. Kwani husband yuko jela? Sijajua jamani ningempelekea hata chai, kafanyaje tena?
Agiza kinywaji!
he he he,
afu wewe, usinikumbushe machungu
maana hadi nlilipia eneo ukakimbia na nguo mkononi.
Nna hasira, we acha tu.
Yaani nitonye kuwekwa selo tu.....basi ushaona na bahati!! Kuwa makini swaiba.....
Usinikumbushe machungu, kumbe husband yuko selo mie wala sijajua, khaaa!hivi nitonye leo sijamwona, sijui kaenda wapi?
Maskini, hivi hivi kweupe, hao wanatokomea gizani.
Nakunywaga Maziwa, na Maziwa kwenye maeneo kama haya hua muhali kuyapata !
Sasa itakuwaje ?
Kwa nini nisikimbie wakati niliona kitu kinaning'ing'inia hewani wakati nilidhani nitakuta kitu mteremko. Huu utapeli mimi siukubali kabisa
Akuhurumie nani?
Umeona? Bora nisimuage kabisa... Nipo form two B!
Usinikumbushe machungu, kumbe husband yuko selo mie wala sijajua, khaaa!
Lazima kalogwa na klorokwini tu hakuna mwingine, huezi amini usingenambia wala nisingejua! Nimeingia jf mida ya jioni toka jana! Ntakupitia asubh tumpelekee chai.. Natamani kulia sema hakuna wa kunifuta machozi... I'll miss him jaman, daaah!Mwanakwetu unaniangusha. Yaani hujui kama hubby wako yuko kifungoni, hakyanani utajiju mahari hairudi aisee! Sijui kafanya nini mi nimeinyaka tu hii newz kwenye posts za watu....na nilitegemea we unipe full event!!! Lol
Usinikumbushe machungu, kumbe husband yuko selo mie wala sijajua, khaaa!