johnson.linus
Member
- Feb 2, 2012
- 5
- 0
Mashost wikend leo wapi jamani?
Huku huku.
Dah.....nimekumiss kweli yaani!
Huku huku.
Hi sweet wifi!Jonson unatumia Kinywaji gani nikuagizie hapa nilipo?
Noamba nipigie simu kwa number niliotuma PM, Usijali waweza bip!
Karibu saana.
Hi sweet wifi!
hunishindi mimi yaani. Ile ahadi yako utatimiza lini?
Hi sweet wifi!
Wifi nilienda saluni, kakako tulikuwa na kijiugomvi kidogo ndio mana niliamua kumzimia simu! Ila kwa sasa shwari manake shemeji PAW na mkewe King'asti walikuja kutusuluhisha!..Hey sweet wifi.... Nilikutafuta tuje leo woote hapa, Ulienda wapi? hata kaka Cookie nasikia alikua hakupati...
halafu wifi yako ana mkwala kweli......yaani namcheki tu hapa na pensi nyanya lake anatafuna mua alafu anawazuga watu na offer za kilaji....lol!!
JF ndo mpango mzima.
hunishindi mimi yaani. Ile ahadi yako utatimiza lini?
Shikamoo swahiba, lahaziz, swthat lotion! Missed you munooo
Hahahaha! Sipati picha pensi nyanya na muwa!!!lol kama namuona vile! Nakuja sasahivi kuwajoin hapo! Namalizia kupaka wanja!halafu wifi yako ana mkwala kweli......yaani namcheki tu hapa na pensi nyanya lake anatafuna mua alafu anawazuga watu na offer za kilaji....lol!!