sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nakuchukia wewe!na mie kama nakujua hivi
nakufananisha na mtu fidodido
Nakuchukia wewe!na mie kama nakujua hivi
nakufananisha na mtu fidodido
Hapa kweli pa Ladies ! Hapa patakosa vichenipati kweli au sijui mtu kusutwa !
Sidhani.
na mie kama nakujua hivi
nakufananisha na mtu fidodido
Nakuchukia wewe!
Ipo usijali. Mi sijambo wewe je?
Hehehe! Bahati ilioje hii? Twenzetu libent!Mie mzima naomba nikutoe out SL
Lol... Nimeghairi nakupenda!basi tunalipizana
nakuchukia hadi nimeshatafuta mteja niuze bandama na firigisi zako.
Tambua, wewe ni miongoni mwa my 'most wanted'
basi tunalipizana
nakuchukia hadi nimeshatafuta mteja niuze bandama na firigisi zako.
Tambua, wewe ni miongoni mwa my 'most wanted'
Tafadhali usitaje sijafanya pedicure mieze karibu 6 sasa..... Hafadhali umenisitiri kutotaja makurubasi....lol
Hivi mbona wewe hutaji ovaroli ulilovaa? toka umetoka kazini na uma kenika wako hujavua wala hujanawa mikono na wala mua...
Hehehe! Bahati ilioje hii? Twenzetu libent!
nipo, nimejaa tele kama pishi la mchele.
Hoooome sweet hooome!!
Daaah, nshakuona, nakuja. Bye kipipi akija wifi mwambie nimepata zali la mentali!Niko hapa getini kuna prado jeupe limepaki utaliona.
Hehehe! Bahati ilioje hii? Twenzetu libent!
Khaaa! Umeomba kwa huruma!...lol.Shosti naomba nije nikutembelee basi chipenzi.......!!
Wewe, sitaki kuamini. Kwani husband yuko jela? Sijajua jamani ningempelekea hata chai, kafanyaje tena?Yaani nitonye kuwekwa selo tu.....basi ushaona na bahati!! Kuwa makini swaiba.....
Daaah, nshakuona, nakuja. Bye kipipi akija wifi mwambie nimepata zali la mentali!