min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,595
Mtu akikosea R na L kwenye mazungumzo ya kawaida sijui kwa nini napunguza attentionChangamoto 😂
Mtu akikosea R na L kwenye mazungumzo ya kawaida sijui kwa nini napunguza attentionChangamoto 😂
Huyo nesi alifauli kwa hongo ya mbususu kafeli zaidi ya vitu vitano hapo
Mtu akikosea R na L kwenye mazungumza ya kawaida sijui kwa nini napunguza attention
Sana mkuuInafikirisha sana
Ooh sawaNi tafakuri ila pesa ndo raha yenyewe.
😅😅 sawa mahiMi nikizidiwa na vikoba nahisi hii dunia ni mbaya sana,natamani nijilaze kwa road magari yapite na hewa yangu.
Nikishalipa hivyo videni,huwa najiuliza sana,hivi hawa watu wanaowaza kujinyong’a hivi wanajua ladha ya nyeto kweli.😋
Sawa mwalimuNi kajua ni Ladha ya maisha , kumbe ni radha ya maisha , basi sawa.View attachment 3606428
Asantee mwalimuLadha ✅
Radha ❌
KaribuNgoja Nipate Funda Moja Ya Glass Red Dry Wine 🍷 Halafu Nitarudi Chap🥂
HongeraVinavyonipa furaha
MashaAllahKwangu mimi, ladha ya maisha ipo kwenye utulivu wa akili.
Vitu vingine vyote ni nyongeza tu.
❤️Kwangu mimi ninapo fanya wema fulani napata sana furaha.
Kwa lugha rahisi furaha ya maisha inakuja pale unapo kuwa sehemu ya furaha iwa kwa wengine.
Sijaandika nikiwa na lengo la kukuongezea attention Asantee mkuu🙏🙏🙏Mtu akikosea R na L kwenye mazungumzo ya kawaida sijui kwa nini napunguza attention
Music 🥰Music, music , music
Huwa najaribu kuimagine life without music ingekuwaje