Ladha ya kufanya mapenzi ipo wapi?

Ladha ya kufanya mapenzi ipo wapi?

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,728
Reaction score
4,075
Hivi ladha ya kufanya mapenzi ipo I wapi kwanini watu wana promote Sana? Kusema ukweli watu wanaipromote ngono kipa mara ila haina ladha wala faida yoyote au kuna namna yoyote ya kufanya mapenzi mpaka afurahie yaani unatumia nguvu ladha unaipata kwenye kumwaga Tu? Au kuna sehemu nyingine ambapo unaweza kuenjoy kufanya mapenzi apart kwenye kumwaga?

Watu wanahangaika kuangalia sura lakini sura inaimapact nini kwenye kufanya ngono? Sura na rangi inafaida gani kwenye kufanya ngono? Kwanini watu wanaover rate sana hii kitu inaitwa ngono? Nilijaribu kutoka nje ya ndoa labda shida ni mke wangu nikachepuka na demu mmoja mweupe tena sana lakini nimefanya sijaona ladha yoyote ile nikaona huu ujinga

Ngono ni haina faida wala ladha yoyote ile mara ya mwisho kuinjoy nilikutana na mmasai mmoja hapo atleast niliinjoy lakini bado nikaona apart from kutumia nguvu kwenye ladha ya ngono ni pale kwenye kumwaga tu basi

Acheni kupromote ngono ni ujinga tu
 
Una matatizo labda

1.Homoni zako zilishuka kitambo hujui tu

2.Una msongo wa Mawazo ambao unauchukulia kawaida

Ndugu
Mapenzi ni matamu mno haswa ukimpata unayempenda na anakupenda.

ILi mwili wako utimie unahitaji
1️⃣Kula vizuri.
2️⃣Kulala usingizi mzuri
3️⃣kufanya Ngono

Sasa kujituma kote Kwa watu na hekaheka zoooote unazokutana nazo ni kwaajili ya hivyo vitu vitatu muhimu

Lakini pia jinsia yako ni ipi?
 
Ooh dear wewe ni Asexual, nenda kajisome vizuuuuuri mna kakikundi chenu utakutana na wenzio mzidi kupeana ushauri na changamoto mbalimbali,

Ila usiwasimange ambao sio asexual kwa kupenda ngono, ngono ni tamu ndio ilowatoa Adam na Hawa bustanini.
 
Ngono ni biashara, ngono ni kitega uchumi, ngono ni utamu, ngono ni ujasusi kwa jirani, ngono ni shina la siri, ngono ni uzazi, ngono chanzo cha magonjwa, ngono ni nira, ngono ni kujuana, ngono ni utemi, ngono ni uchafu, ngono ngono ngono mtakufa kabla ya siku mambwa nyie!
 
JF VAR CHECK

 
Tatizo lako lilianzia hapa,

JF VAR CHECK

 
Ooh dear wewe ni Asexual, nenda kajisome vizuuuuuri mna kakikundi chenu utakutana na wenzio mzidi kupeana ushauri na changamoto mbalimbali,

Ila usiwasimange ambao sio asexual kwa kupenda ngono, ngono ni tamu ndio ilowatoa Adam na Hawa bustanini.
Ni ajabu kuwa baadhi ya watu ni wavivu kusoma, wavivu hata “kugugu” yeye akishaona ana tatizo ana assume ni tatizo la dunia nzima.

Kuongeza hapo kwenye Asexual, ngoja tumshangaze mleta mada …Kuna watu hawasikii ladha ya chakula maisha yao yote, wanakula tu ili waishi, Wanatushangaa iweje unakula na kufurahia chakula….
 
Ni ajabu kuwa baadhi ya watu ni wavivu kusoma, wavivu hata “kugugu” yeye akishaona ana tatizo ana assume ni tatizo la dunia nzima.

Kuongeza hapo kwenye Asexual, ngoja tumshangaze mleta mada …Kuna watu hawasikii ladha ya chakula maisha yao yote, wanakula tu ili waishi, Wanatushangaa iweje unakula na kufurahia chakula….
Na mimi naongezea hapo,
Kuna watu wakinywa bia hua wanaiona ni chungu na mbaya,ni bora wanywe fanta orange,wakati huo huo kuna watu huwaambii kitu kwenye Bia . cc min -me
 
Ooh dear wewe ni Asexual, nenda kajisome vizuuuuuri mna kakikundi chenu utakutana na wenzio mzidi kupeana ushauri na changamoto mbalimbali,

Ila usiwasimange ambao sio asexual kwa kupenda ngono, ngono ni tamu ndio ilowatoa Adam na Hawa bustanini.
Nakushauri ukasome Bibilia yako vizuri na kwa utulivu mkubwa. Ngono haikuwatoa bustanini Adam na Hawa.
 
Ni ajabu kuwa baadhi ya watu ni wavivu kusoma, wavivu hata “kugugu” yeye akishaona ana tatizo ana assume ni tatizo la dunia nzima.

Kuongeza hapo kwenye Asexual, ngoja tumshangaze mleta mada …Kuna watu hawasikii ladha ya chakula maisha yao yote, wanakula tu ili waishi, Wanatushangaa iweje unakula na kufurahia chakula….
Anajua sana anajitoa ufahamu tu,
Sema nilivyomsoma mtoa mada na mfululizo wa mada zake anavyozifyatua kila baada ya dakika 2, itoshe kusema Mirembe imejaa wazima ilhali wagonjwa wapo mitaani wanadunda tu.
 
Ni ajabu kuwa baadhi ya watu ni wavivu kusoma, wavivu hata “kugugu” yeye akishaona ana tatizo ana assume ni tatizo la dunia nzima.

Kuongeza hapo kwenye Asexual, ngoja tumshangaze mleta mada …Kuna watu hawasikii ladha ya chakula maisha yao yote, wanakula tu ili waishi, Wanatushangaa iweje unakula na kufurahia chakula….
Madam Netflix after dark 🏃
 
Back
Top Bottom