Kusamehe napo ni mtihani,sio rahisi kama mkosaji anavyofikiria tena makosa ya makusudi yanaumaga balaa ni basi tu We love God so kupenda watu wake (wema kwa wabaya) ni amri otherwise walioniumiza wote acid zingewahusu,kama sio sumu,au kuchoma nyumba zao,achilia mbali kuwatengenezea ajali au hata kuwakodia majamaa wawageuza nyuma na picha juu kubandika mji mzima angalau tujumuike pamoja ktk maumivu.
Tuwatendee wenzetu tunayopenda kutendewa,tuwe wakweli ili mwenzio ajue atajiweka position ipi kwako,au aamue kuliwa kwa kupenda ye mwenyewe na sio kwa uwongo wako....