Filomena
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 295
- 120
tutaingia motoni kwa vitu vidogo vidogo sanaaausipomuaminisha haupati Free papuchi,sasa nani anataka kugharamia?
tutaingia motoni kwa vitu vidogo vidogo sanaaausipomuaminisha haupati Free papuchi,sasa nani anataka kugharamia?
Ebu nishauri nianzaje pagum kidogo hapo, maana me nahisi nilikosea once nilipomtokeaSubiri kidooogo chamoto utakiona
Ujue mwanamke akikupenda anapenda kweli na akikuchoka anakuchoka kweli so trust me bora umwambie ukweli mapema kuliko kuharibu matarajio yake
Shidaa yenu inakuja mkifanikiwaaaa daaah mnaona mlieanza naye si kitu hapo lazima maisha yakunyooshe
itakubidi ujipange kumwambia ukweli na i hope hujampotezea muda wake mwingi na usimwache kwasababu unahisi unayemuona/mwanamke mwingine ndo anafaa kuwa mkeEbu nishauri nianzaje pagum kidogo hapo, maana me nahisi nilikosea once nilipomtokea
Shosti tupe ujuzi waliaji basi lolestyani kama mimi usinisogelee kabisa sinaga presha ukiwa umejipanga kunichezea utajichezea mwenyewe.....wanarudi wanalialia ila cha moto wamekiona
OK,sasa inakuaje baada ya bikra usiweze kujitunza?Kujitunza au kutunza ni kitendo kujiweka au kukiweka kitu ktk mazingira salama ambayo yatakifanya kisiharibiwe,
umeona kk mbona upande mmoja tu?vipi wanaume hatuna laana?
pole sana my dia Valentina songa mbele mwombee Baraka your destiny is never ever tied to anyone. Jifunze kuhesab mema ya Mungu kuliko mabaya utaona life is so simpleHayo yalinikuta 2013 mpwa.... Hii mambo ishia tu kusikia kwa jirani lakini kwako usiombe.
Kupitia hilo nimejifunza ukiamua kumsahau aliekuumiza na kufurahia maisha inawezekana kabisa.
Nilimpenda mno na sikutegemea kama ningeweza kumsahau ila yote hayo kwasasa yamebaki historia tu... Jamaa bado hajaoa na alivokua nyuma ni tofauti na sasa,na hapo ndipo ninakubaliana na Uzi wako huu....
Unaonekana kujihesabia haki, hao bongo movie unaowaita changudoa ni watu nao kama wewe na dada zako na Inawezekana dada zako ndio washenzi zaidi.
Tena walala hoi ndio mko bize kuwaita wanawake malaya kumbe hamuwawezi, na mnajua sio level yenu.
Uwe na akili hata kidogo, kazi ya mtu haina uhusiano na tabia
Unaumwa wewe, nani akupe chochote?Sikia, hata unipe mwanamke wa bongo movie bure na mboo ya baba yako ya kuazima au ya boy friend wako sichapi ng'oooo!
Utasemaje umejitunza wakat walisha haribu? Hapo hakuna cha kusema umejitunza wakat tayar umeshaharibuwa hapo mnalitumia vibaya neno..OK,sasa inakuaje baada ya bikra usiweze kujitunza?
Utakuta mwanamke mwingne kazalia nyumban halafu siku akipata mwanaume naye anakuja na swaga hizo za eti najitunza kwaajli yako.. Huo si ukichaa kabisa??!!!OK,sasa inakuaje baada ya bikra usiweze kujitunza?
..thamani ya mwili wako...well, asante!!!Kujitunza kwamaana ya kua muaminifu kwa mwenzako na kujua thamani ya mwili wako
...Ikanibidi kwa unyonge kabisa nijipendekeze kwa yule binti na kuanza kujenga naye ukaribu upya na kuomba misamaha mingi sana....
Baada ya muda nikaona mambo yanaanza kubadilika na kuwa kama kawaida...
Mi picha yako inanitoa machozi sana....siyo vzrkweli
si vizuri mtu akatoa machozi kwa sababu yako,iwe ni mahusiano,kudaiana,dhuluma au chochote kile coz machozi ya mtu huwa hayarudi bure, thnx kwa somo
Au unakuta alikuwa eti anakutest....ila inauma kujitoa mzima mzima kumbe mwenzio anapita njia ..
Hahahahaha acha utunduMi picha yako inanitoa machozi sana....siyo vzr
Hapana mkuu sikupiga....ila nilitaka tu kuondoa uadui kati yetu...Kwa hiyo uliendelea kupiga...unabahati ulikuta sijamchukua