BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
usile chakula kikavu,
Rahisi tu, kuna mchangiaji mmoja hapa amesema kama antiacid hazijakusaidia basi uende hospitali, kwahiyo ni kama kusema asidi inaelekea kuzidi alkalini mwilini mwako. mwilini lazima ubaki katika hali ya ualikalini mara nyingi zaidi kuliko katika asidi. maelezo ni mengi sana, kwa ufupi unatakiwa kula na kunywa vyakula au vinywaji vingi vyenye alkalini zaidi kuliko asidi, sasa ukiacha mboga mboga za majani, matunda na maji au maji/chumvi, vitu vingine vyote vilivyobaki ni asidi, kwahiyo nyama, samaki, chipsi, kuku, kitimoto, soda na vingine vingi ni asidi. Jaribu hivi: kila nusu saa kabla ya kula chakula, kunywa glasi moja ya maj. www.maajabuyamaji.comWakuu naomba kuuliza wataalamu na wataaluma,hivi ni nini kinasababisha kwi kwi?
Kiongozi kama ni kwikwi ya kawaida ambayo haijasababishwa na ugonjwa wowote,Tafuta Ganda la muwa,lichome halafu nyonya maji yake ni issue ya fraction of a seconds kwikwi itakuwa imekwisha kabisa Inshallah (Kwa hisani ya marhum bibi 'MAY GOD REST HER SOUL IN PEACE').
kwikwi inatokana na hewa kujaa tumboni so kunywa maji mengi ui displace. unakumbuka mambo ya downward dispacement upward delivery? chemistry ya form one.