escrow
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 371
- 321
Jf doctor naomba ushauri, mimi na mke wangu tumepata mtoto ambaye kwa sasa umri wake ni miezi 2.
Mtoto huyu ana tatizo ambalo imekuwa ngumu kwetu kuelewa, ni kwamba akiwa ananyonya anatoa sauti kama vile kwikwi, hivyo bado ufahamu wetu kwenye tatizo hili hatuna.
Jf doctor naomba ushauri ndugu zangu hili tatizo limekuwa linaongezeka kila siku na wakati mwingine anakuwa kawaida tu.
Naomba kuwasilisha, natanguliza Shukrani za dhati.
Mtoto huyu ana tatizo ambalo imekuwa ngumu kwetu kuelewa, ni kwamba akiwa ananyonya anatoa sauti kama vile kwikwi, hivyo bado ufahamu wetu kwenye tatizo hili hatuna.
Jf doctor naomba ushauri ndugu zangu hili tatizo limekuwa linaongezeka kila siku na wakati mwingine anakuwa kawaida tu.
Naomba kuwasilisha, natanguliza Shukrani za dhati.