Kunywa maji kupitia upande wa pili wa glass.
mdau wewe unajua umnchekesha sana,maana mimi natumia kikombe cha plastic
Kunywa maji kupitia upande wa pili wa glass.
Kiongozi kama ni kwikwi ya kawaida ambayo haijasababishwa na ugonjwa wowote,Tafuta Ganda la muwa,lichome halafu nyonya maji yake ni issue ya fraction of a seconds kwikwi itakuwa imekwisha kabisa Inshallah (Kwa hisani ya marhum bibi 'MAY GOD REST HER SOUL IN PEACE').
Ziba pua na mkono alafu vuta hewa ndani kwa mdomo fanya kama alafu meza . Rudia tena haraka haraka bila kuachia hewa itoke nje .jitahidi kurudia kadri ya uwezo wako kwani itakua ngumu kidogo.
Jaribu inaweza kusaidia.
Mkuu, una kama siku 5 tangu ulipojiunga jamii forum. Dawa ya kwikwi ni lazima uende hospitali daktari atakuandikia dawa inayofaa kutibu kwikwi, ukiuliza hivyo hapo watu watakuandikia hapa nyingi bila idadi. Kwani nani alikuambia kuwa MAJI NI DAWA YA KWIKWI?:a s 465:
Muwa Mweusi Black Sugarcane Mkuu King'astiSasa mua mweusi ndo nini? Huu unesi wako niliokabidhiwa na The secretary karibu unanishinda!
:a s 465:
Mkuu, una kama siku 5 tangu ulipojiunga jamii forum. Dawa ya kwikwi ni lazima uende hospitali daktari atakuandikia dawa inayofaa kutibu kwikwi, ukiuliza hivyo hapo watu watakuandikia hapa nyingi bila idadi. Kwani nani alikuambia kuwa MAJI NI DAWA YA KWIKWI?
Hujaelewa nini nimeandika hapa, mpaka sasa hakuna aliyefanikiwa kumjibu kama alivyouliza. Swali lake umemuelewa? specialist ndiyo nani? nitajie specialist mmoja.Mbona kapewa majibu poa tu,mbona humu kuna ma dr.tena specialist
Hujaelewa nini nimeandika hapa, mpaka sasa hakuna aliyefanikiwa kumjibu kama alivyouliza. Swali lake umemuelewa? specialist ndiyo nani? nitajie specialist mmoja.
Mwanangu na wewe....! Maua meusi yanatokana na mti uitwao Mruturutu, ambao pia upo kule shambani kwetu BonyokwaSasa mua mweusi ndo nini? Huu unesi wako niliokabidhiwa na The secretary karibu unanishinda!
Hata kwa kwikwi serious maji ni ndiyo dawa hasa ya kwikwi. we mara zote ukianza tu kujisikia kwikwi tafuta glasi ya maji, sema inaweza isikusaidie haraka kama unaenda kunywa maji ya baridi sana yale mnayaweka kwenye mafriza na mafriji yenu!. Ukinywa ya kawaida katika joto la kawaida (room temperature), kwikwi haitakawia kuisha.Kwa nijuavyo maji pia hutibu kwikwi hasa ya mda mfupi na isiyo serious.
Teh! teh! teh!, bado tu ulikuwa hujanielewa?! Si unaona sasa wameanza kumjibu kama swali lake lilivyokuwa linataka. Basi nipotezee chukuwa glasi ya maji unyweWe unaona hapo juu wamemjibu nini? au kwako wewe tiba dawa zake ni hospital tu?kuna vitu ambavyo si kila kitu unaweza pata tiba hospital mitishamba na vyakula vingine ni dawa tosha.kuhusu ma specialist kwani hujui watu wanatumia id fake humu?