SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
Naam, hakuchi, hakuchi kumekucha..
Siku nyingine tena tumeamka tukiwa na furaha, baada ya mbugi kali baina yetu sisi mabingwa wa kutandaza soka la kisasa na la viwango hapa TZ na waarabu wa Aljeria kisha kuibuka na ushindi mnono uliotuhakikishia kuingia robo fainali ya kombe la klabu bingwa Africa, kwa kipengele cha kisheria ya H2H.
Nipende kusisitiza na kuuhakikishia Umma kwamba Yanga Africa aka Wananchi tutamaliza kundi tukiwa on top. Tunaenda kumpiga Al-ahly kwao na kufuta dhana ya kwamba Al-ahly hawezekani!
Yes Yanga hii ya Gamondi inakazi moja tu, kufuta dhana za kwamba kuna mambo fulani ktk soka la Nchi yetu hayawezekani.
Yale yasiyowezekana kifikra za watanzania walio wengi kwa Yanga hii ya sasa yanawezekana!
MKAE KWA KUTULIA Na MTAONA.
TIME WILL TELL....
WANANCHI GOOOOO......!!!!!!!
[Cairo Misri ]Full time; Al-ahly 0 vs Yanga 1.
Siku nyingine tena tumeamka tukiwa na furaha, baada ya mbugi kali baina yetu sisi mabingwa wa kutandaza soka la kisasa na la viwango hapa TZ na waarabu wa Aljeria kisha kuibuka na ushindi mnono uliotuhakikishia kuingia robo fainali ya kombe la klabu bingwa Africa, kwa kipengele cha kisheria ya H2H.
Nipende kusisitiza na kuuhakikishia Umma kwamba Yanga Africa aka Wananchi tutamaliza kundi tukiwa on top. Tunaenda kumpiga Al-ahly kwao na kufuta dhana ya kwamba Al-ahly hawezekani!
Yes Yanga hii ya Gamondi inakazi moja tu, kufuta dhana za kwamba kuna mambo fulani ktk soka la Nchi yetu hayawezekani.
Yale yasiyowezekana kifikra za watanzania walio wengi kwa Yanga hii ya sasa yanawezekana!
MKAE KWA KUTULIA Na MTAONA.
TIME WILL TELL....
WANANCHI GOOOOO......!!!!!!!
[Cairo Misri ]Full time; Al-ahly 0 vs Yanga 1.