Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 820
- 1,291
Kwa hali ilivyo Sasa, huenda CCM wakasimamisha Wagombea watatu wa ngazi ya Urais kupitia vyam vitatu tofauti, katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Wagombea hao watakuwa Comrade JPM, Comrade ambae wengine mnamuita Kamanda Nyalanduna na Comrade Mzalendo Membe.
Ukizingatia kuwa, TLP na UDP wameshatangaza kumuunga mkono Mh. Jpm, huenda CHAUMA NA NLD wakamuunga mkono Nyarandu, na kufikisha vyama sita ambavyo vitakuwa vikifanya kampeni kwa niaba ya CCM.
Kwa hesabu hiyo ya Std 4, wacha CCM waendelee kutusomesha namba za kirumi maana viongoz wa tunavyoviita vyama vyetu vya upinzani ama hawajielewi au hawana nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania.
Ukizingatia kuwa, TLP na UDP wameshatangaza kumuunga mkono Mh. Jpm, huenda CHAUMA NA NLD wakamuunga mkono Nyarandu, na kufikisha vyama sita ambavyo vitakuwa vikifanya kampeni kwa niaba ya CCM.
Kwa hesabu hiyo ya Std 4, wacha CCM waendelee kutusomesha namba za kirumi maana viongoz wa tunavyoviita vyama vyetu vya upinzani ama hawajielewi au hawana nia ya dhati ya kumkomboa Mtanzania.