Kwenye mapenzi

Kwenye mapenzi

Lazima ubalance.

mwanaume uko na sura personal. Huna hela. Huna ujanja. Huna upekee. Yaan Uko uko tu. Bas lazima utaangukia kwa mwanamke ambaye yuko na hali kama yako ila ww umemzidi kwa unafuu kidogo.

Hii ndio formula.

na mwisho wa siku type ya wanawake wanaokukubalia ndio haswaa unaostahili.

Na ndio maana when you Made progress na ukiwa na kitu cha ziada kuna type ya wanawake wengine watakustahili.
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Mm natoa ofa ya kumchora Lamomy bure akinicheki Dm. Sina hela lakin mapenzi nnayo 😂. Namuongeza na kiwanja
😹 Najua unataka kuja DM hiyo kunichora zuga tu..!!

Haya njoo upige swagger zako za kizalamo pm iko wazi..!!
 
😹 Najua unataka kuja DM hiyo kunichora zuga tu..!!

Haya njoo upige swagger zako za kizalamo pm iko wazi..!!
Kwan lamomy unaamin kabisa mm mzaramo? Na mteja wa kiwanja ulisema utamleta naona kimya
 
Kumbuka Mwanamke akichuja anakuwa ALLIEN.
FB_IMG_17824216062500118.jpg
 
Kwan lamomy unaamin kabisa mm mzaramo? Na mteja wa kiwanja ulisema utamleta naona kimya
Kwani ukiwa mzaramo haipiti? 😹
Tena nasikia wazaramo mna tuvitu vitu vyenu vya kimahaba..!!
Mteja yupo tatizo unazingua masihara mengi wewe..!!
 
Kwani ukiwa mzaramo haipiti? 😹
Tena nasikia wazaramo mna tuvitu vitu vyenu vya kimahaba..!!
Mteja yupo tatizo unazingua masihara mengi wewe..!!
Bas fanya tupate hela, nimeacha Dm open muda mref labda lamomy atanichek leo. Siku zianenda tu. Usijal mm sio kijana wa hovyo, naheshim sana privacy ya mtu.

Nchek Tujue tunafanyaje
 
Bas fanya tupate hela, nimeacha Dm open muda mref labda lamomy atanichek leo. Siku zianenda tu. Usijal mm sio kijana wa hovyo, naheshim sana privacy ya mtu.

Nchek Tujue tunafanyaje
Nitakucheck
 
Back
Top Bottom