ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,502
- 39,057
KijanaLovely story
Indila
KijanaLovely story
Indila
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeLazima ubalance.
mwanaume uko na sura personal. Huna hela. Huna ujanja. Huna upekee. Yaan Uko uko tu. Bas lazima utaangukia kwa mwanamke ambaye yuko na hali kama yako ila ww umemzidi kwa unafuu kidogo.
Hii ndio formula.
na mwisho wa siku type ya wanawake wanaokukubalia ndio haswaa unaostahili.
Na ndio maana when you Made progress na ukiwa na kitu cha ziada kuna type ya wanawake wengine watakustahili.
Naaam naaam nakula music hapa taratib mwenzako baada ya leo kupata oda ya vidumu viwili vya tomatoKijana
Sawa mdogo wangu mzuriiiiNaaam naaam nakula music hapa taratib mwenzako baada ya leo kupata oda ya vidumu viwili vya tomato
Your welcomeSawa mdogo wangu mzuriiii
Kwan lamomy unaamin kabisa mm mzaramo? Na mteja wa kiwanja ulisema utamleta naona kimya😹 Najua unataka kuja DM hiyo kunichora zuga tu..!!
Haya njoo upige swagger zako za kizalamo pm iko wazi..!!
Kwani ukiwa mzaramo haipiti? 😹Kwan lamomy unaamin kabisa mm mzaramo? Na mteja wa kiwanja ulisema utamleta naona kimya
Bas fanya tupate hela, nimeacha Dm open muda mref labda lamomy atanichek leo. Siku zianenda tu. Usijal mm sio kijana wa hovyo, naheshim sana privacy ya mtu.Kwani ukiwa mzaramo haipiti? 😹
Tena nasikia wazaramo mna tuvitu vitu vyenu vya kimahaba..!!
Mteja yupo tatizo unazingua masihara mengi wewe..!!
Dadeq hii video yamoto balaa😋🤔🤔Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa pesa tu bwashee"🤣View attachment 3618582
NitakucheckBas fanya tupate hela, nimeacha Dm open muda mref labda lamomy atanichek leo. Siku zianenda tu. Usijal mm sio kijana wa hovyo, naheshim sana privacy ya mtu.
Nchek Tujue tunafanyaje
Sio kweliWanawake wazuri hawana akili 💯
Stress hizo!Kumbuka Mwanamke akichuja anakuwa ALLIEN.
View attachment 3619054