MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 5,131
- 12,635
Wanawake wazuri hawana akili 💯
Sana tuKama unajiamini kama mimi na unayo pesa , kamwe usiseme kumpata mwanamke mzuri, kunategemea tabia yake
Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa pesa tu bwashee
Hata sijui mjukuu.Nimesema kweli au uongoo babuu
SawaaHata sijui mjukuu.
🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo sisi sura ya baba tuuwawe?Kama unajiamini kama mimi na unayo pesa , kamwe usiseme kumpata mwanamke mzuri, kunategemea tabia yake
Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa pesa tu bwashee
Tumepata mkombozi🍹Wenye sura personal watakuwa na nani sasa, ndio maana wengine tukanyimwa pesa ili tuwapate hao wa kawaida kimuonekano.
Si ndio😂Mkeo sio mbaya,tatizo ni finishing 🐒
Ufafafanuzi wa 'mwanamke mbaya' please!Kama unajiamini kama mimi na unayo pesa , kamwe usiseme kumpata mwanamke mzuri, kunategemea tabia yake
Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa pesa tu bwashee
Lazima ubalance.Kuwa na demu mbaya ni matumizi mabaya ya nyege
Acha kusema ukweli kwa sauti kubwa 🤣🤣Lazima ubalance.
mwanaume uko na sura personal. Huna hela. Huna ujanja. Huna upekee. Yaan Uko uko tu. Bas lazima utaangukia kwa mwanamke ambaye yuko na hali kama yako ila ww umemzidi kwa unafuu kidogo.
Hii ndio formula.
na mwisho wa siku type ya wanawake wanaokukubalia ndio haswaa unaostahili.
Na ndio maana when you Make progress na ukiwa na kitu cha ziada kuna type ya wanawake wengine watakustahili.
Ndio Ukweli dear.😊😊😊Acha kusema ukweli kwa sauti kubwa 🤣🤣
Wewe unapata wanawake wa type gani🫣Ndio Ukweli dear.😊😊😊
Na Life must Go on.