stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,866
- 14,627
Katika harakati za kutafuta maisha, wengi hua na ndoto za kutoka wakilinganisha mafanikio aliopata mtu flan(Mentor), however sio kitu kibaya kua na mentor ila ukwel ni mafanikio hua ni njia binafasi
Kwa mfano unaweza tamani kuamfanya biashara maarufu, katika dira zako ukaona mtu kama vunja bei ndo mwenye dira kama unayotaka kwenye uhalisia, hili ni kosa kubwa sana kwan njia za kutoka huwa ziko limited, mfano vunja bei akisema aanze upya leo akisema atumie njia zile alizotumia mwanzo hakutakua na vunja bei kwani fursa alioipata mda ule sio sawa tena katika awamu hii, anaweza kufanikiwa tena lakini kwa kupita njia tafauti, however ni ngumu sana kufanikiwa kwani mafanikio katika maisha hua ni Timming(Bahati) na utayari wako!
Hivo basi katika safari yako ya kutaka kufanikiwa, Try as many things as you can katika njia tafauti tafauti, lakini pia unatakiwa kujua kufanikiwa ni Bahati inapokuangukia ikikukuta ukiwa tayari. Katika mfumo wa capitalism ambao tunautumia hata Tanzania mafanikio ni kwa watu wachache sana, hivi zingatie thamani zaidi ya malalamiko!
Happy new year
Kwa mfano unaweza tamani kuamfanya biashara maarufu, katika dira zako ukaona mtu kama vunja bei ndo mwenye dira kama unayotaka kwenye uhalisia, hili ni kosa kubwa sana kwan njia za kutoka huwa ziko limited, mfano vunja bei akisema aanze upya leo akisema atumie njia zile alizotumia mwanzo hakutakua na vunja bei kwani fursa alioipata mda ule sio sawa tena katika awamu hii, anaweza kufanikiwa tena lakini kwa kupita njia tafauti, however ni ngumu sana kufanikiwa kwani mafanikio katika maisha hua ni Timming(Bahati) na utayari wako!
Hivo basi katika safari yako ya kutaka kufanikiwa, Try as many things as you can katika njia tafauti tafauti, lakini pia unatakiwa kujua kufanikiwa ni Bahati inapokuangukia ikikukuta ukiwa tayari. Katika mfumo wa capitalism ambao tunautumia hata Tanzania mafanikio ni kwa watu wachache sana, hivi zingatie thamani zaidi ya malalamiko!
Happy new year