Kwenu wanawake wenzangu

Kwenu wanawake wenzangu

Habari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..

Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?

Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Mimi niliacha kabisa kumsubirisha Mkaka anayenipenda.
Kama nimeelewa sera zake na ananijali vizuri ni ndio ya haraka kama naapishwa vile 😛😜
 
Habari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..

Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?

Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Wewe kama kweli ni mwanamke hukuwa na sababu za msingi za kutaka tukutambue kama mwanamke.
 
Habari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..

Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?

Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Bro wewe unapenda kuzungushwa au hupendi?
 
Kumbe mleta mada ni maini matupu nilikua sijamzingatia OMG!!
Screenshot_20260707-154651~2.jpg
 
Kwahiyo nitamchunguzaje muda alotuma maombi? Hujui kuna watu wanatumia kigezo hichocho kulomba wanawake?

Unakuta unatamani uwe na mahusiano linakuja jangili kukutapeli kwa njia zilezile zinazotumika kumnasa mwanamke! Kwanza mtu aliye real hawezi kukulazimisha umjibu hapohapo or else una mpango ovu unataka kuutimiza uchape lapa!
Wanawake mna kazi sana, hadi umfahamu mtu ni kazi sana.
 
Back
Top Bottom