Kwenu wanawake wenzangu

Kwenu wanawake wenzangu

Sa unajizungusha nini jamani, kupoteza muda tu
Mimi unaona nafanana na mtu wa kujizungusha bro

Mi kama nimekulewa safii sipendi issue za ku act act mambo yasio kuwepo😅

Mi naona watu wanachanganya kumkubari mtu na kuanza sex nae

Kusema nimekubari haina maana kesho mnaamkia gest jamani😅😅😅

Nakama Sijakuelewa pia pita hivi🫴
 
Unamuacha mtu kisa hajakupa "care" unaenda kuokota mabalaa kisa pesa. Au ndio upate kimoja ukose kimoja?
Kinachowaaminishaga wenye pesa wana mabalaa na makapuku ni wasafi ni nini? Unaweza kuta kapuku ana mikosi ya kutosha tu ndio maana hata hizo pesa hazishiki! Kila kitu kinawezekana mzee!
 
Kinachowaaminishaga wenye pesa wana mabalaa na makapuku ni wasafi ni nini? Unaweza kuta kapuku ana mikosi ya kutosha tu ndio maana hata hizo pesa hazishiki! Kila kitu kinawezekana mzee!
Hoja ya pesa lazima uitetee kwa wivu mkubwa sana, sasa tutoe dhana ya kuchunguza, tuweke kupewa pesa😅hapo tutaenda sawa. Mdada gani wa kizazi hiki unachunguza mwanaume
 
Hoja ya pesa lazima uitetee kwa wivu mkubwa sana, sasa tutoe dhana ya kuchunguza, tuweke kupewa pesa😅hapo tutaenda sawa. Mdada gani wa kizazi hiki unachunguza mwanaume
Aah wee kuna viumbe ukikutana nacho kimekaa kimjinimjini lazima uchunguze bwana, waazima magari tunawajua wako kama ma corporate 😎
 
Back
Top Bottom