Kwenu wanawake wenzangu

Kwenu wanawake wenzangu

Mm namkubali chap, bikra bikra tuu hawana mambo mengi kama nyie mliokwepa mishale mingi
Basi kapambane naye hakuna ulazima wa kumlinganisha na mtu mwingine huo ni udhaifu! Kumkubali bikra hakuna haja ya kutafuta defence mechanism, ni machaguo yako binafsi! Kabebe uwe unamfunika usoni na blanketi muda wa show🤣
 
Chap kwa haraka 😅.
Yani mtu anijali vizuri halafu nianze kujivuta.
Sio swaga zangu 😅😝.

Sasa mtu anajieleza tu bila vitendo aisee anachosha 😅😅😅hata kupokea simu yake inakuaga nzito sana.
Mtu anakuja na maneno matupu nyoo!🚮
 
Chap kwa haraka 😅.
Yani mtu anijali vizuri halafu nianze kujivuta.
Sio swaga zangu 😅😝.

Sasa mtu anajieleza tu bila vitendo aisee anachosha 😅😅😅hata kupokea simu yake inakuaga nzito sana.
Mtu anakuja na maneno matupu nyoo!🚮
Sasa nawaelewa,, kumbe CARE ndio mpango mzima, wanawake mpo strategic sana.
 
Sasa nawaelewa,, kumbe CARE ndio mpango mzima, wanawake mpo strategic sana.
Yani hapo Bro hata usijichoshe kuongea 😅😅😅
We jali tu.
Mengine tunajiongeza wenyewe.

Na kujali kwenyewe sio kwa sms za Kila Dakika za oiii uko poa? mara vipi? 😝 Peleka form two.
 
Back
Top Bottom