Kwenu wanawake wenzangu

Kwenu wanawake wenzangu

Nyie mbwa mkijibiwa ndio saa 2 saa sita mnaitaka hapana aisee! Bora nivute hisia kwanza namimi mambo ya kunyweshana hansons choice muda wa mechi!😏
Na vile unapenda pombe, utanyweshwa sana tu.😅
Mambo ni mengi, kubali nijue nimepata mpenzi au kataa niendelee kutafuta mwingine. Siwezi kuishi bila kipapa.
 
Na vile unapenda pombe, utanyweshwa sana tu.😅
Mambo ni mengi, kubali nijue nimepata mpenzi au kataa niendelee kutafuta mwingine. Siwezi kuishi bila kipapa.
Pombe nakunywa mwenyewe ndani kwangu! Sina haja ya kunyweshwa mataptap na mbwa!

Kwani we huwezi kuishi bila jibu langu? Fanya mambo mengine takujibu nikitaka!
 
Mwanamke ni mwanmke tu anahitaji support ya kiume tulia zamu yako yaja ni mapigo na mwendo
Inategemea na ukubwa wa support ila sio kwa hizo story za paka na panya! Mwanaume aliyenyooka kwanza hana huo muda wa kusubiri ombi au kutuma maombi! Kuna namna anakuja bwana!
 
Pombe nakunywa mwenyewe ndani kwangu! Sina haja ya kunyweshwa mataptap na mbwa!

Kwani we huwezi kuishi bila jibu langu? Fanya mambo mengine takujibu nikitaka!
Pombe ya offer si mnasema tam sana, leo unayaita mataptap kweli?
Jibu lipatikane ili mtu ajue asepe au akae. Sio kuwekeana usiku.
 
Inategemea na ukubwa wa support ila sio kwa hizo story za paka na panya! Mwanaume aliyenyooka kwanza hana huo muda wa kusubiri ombi au kutuma maombi! Kuna namna anakuja bwana!
Kunywa bia nyamaza tu binti gari za miradi ni nyingi sana kwa sasa na hivi kuna zaidi ya T moja imetengwa kwaajiri ya safari za wakuuuu
 
Pombe ya offer si mnasema tam sana, leo unayaita mataptap kweli?
Jibu lipatikane ili mtu ajue asepe au akae. Sio kuwekeana usiku.
Pombe za offer ndio zikoje hizo? Siko katika level chafuchafu hizo mkuu!

Jibu langu sio pumzi kwako, fanya mambo mengine au nawe piga kimya. Simple!
 
Kunywa bia nyamaza tu binti gari za miradi ni nyingi sana kwa sasa na hivi kuna zaidi ya T moja imetengwa kwaajiri ya safari za wakuuuu
Kama unataka tuongelee upande wa T ntakuja kivingine ila sio hizo habari za ombi langu lini, ombi langu the fvck!!
 
Kama unataka tuongelee upande wa T ntakuja kivingine ila sio hizo habari za ombi langu lini, ombi langu the fvck!!
Oooooh ngoja nipambane nipate japo gari moja wizarani pale niifunge bendera ya nchi pembeni ntakua nakufata huko bonyokwa usiwaze
 
Kwa hiyo lazima umzungushe ili kumchunguza, noma!!
Kwahiyo nitamchunguzaje muda alotuma maombi? Hujui kuna watu wanatumia kigezo hichocho kulomba wanawake?

Unakuta unatamani uwe na mahusiano linakuja jangili kukutapeli kwa njia zilezile zinazotumika kumnasa mwanamke! Kwanza mtu aliye real hawezi kukulazimisha umjibu hapohapo or else una mpango ovu unataka kuutimiza uchape lapa!
 
Back
Top Bottom