shinji majige
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 560
- 214
Nakupa hongera kwa kuachana nae make uckute virus kwa sabbu ya tamaa zake za kifara.
Kuna thread ilikuwa inasema........unaweza kuwa na mtu ukaandamwa na mikosi.......au bahati.........haya sasa........ndio hiyoooo..............
naitaka ile gari yako niiendeshetwende tukaombe kaz kwa singasinga wa escrow uone nani atapewa
yaani wanaume wanapenda mkiachana basi shida zikuandamee,upaukee na kufulia vzr, basi roho kwatuuu, aagggrrr, tupa kule songa mbele bila kugeuka nyuma mpaka anaisoma namba kama hvi!!
Ila lawama zisiwepo, sawaa?Kweli mwanamke sio mwenzio hujui hilo ndugu.??
Mtapewa mshahara mmoja lkn mwenzio kila siku nguo mpya na gari/anamiliki..hela ya ziada atoa wapi..??..
Mtafanya mtihani mmoja wote mna HYPO ak.a number za viatu mwsho wa siku we utasup yeye walaaa...ujue nini...
TUMEBARIKIWAA...kuna vitu tunavyo we wa kiume huna...lol
Dunia hii banaaa....
Ni kweli madam ila sina wivu nae na namuombea mema tuu nimsshangaa tu
Yani usibishe kuwa hujaona wivu, ndo mlivo baadhi ya wanaume, ulitaka mkionana akuombe nauli.
Madam umefatiria hiyo gari kaipata vipii soma comment zangu za hapo nyuma kapewa na babu hahahahahaha
X girl friend wangu niliyekua nae mda woote ananililia shida tukaachana badae baada ya kuona tumeshindwana tabia na kwao nilikua nafahamika sana maana nilikua nawasaidia maana hata uwezo wao ni wa chini sana mi miezi sita tuu tumeachan leo hii anamiliki gari yake aina ya Alteza tena mpyaaa duuuh kweli maisha ya mjini mwanamke usije jipambanisha nae
Ahahaaa kapata mwenye nyota. Tatizo nyootaaaa
Ahahaaa kapata mwenye nyota. Tatizo nyootaaaa
mwenye nyota? au mwenye VIRUSI,,,?!
mwenye nyota? au mwenye VIRUSI,,,?!
sasa yeye kabaki analalama na kutafuta visingizio!!! mtu wa hivi ukiwa nae mbona unalo!
sasa yeye kabaki analalama na kutafuta visingizio!!! mtu wa hivi ukiwa nae mbona unalo!
Have you read any books on the subject - Real state?
Naamini una ufahamu kiasi fulani kwenye hilo. You could start a book club kind of thing here in JF to teach (or help others). In the process, you'll get a lot of volunteers who would assist you to get what you're lacking/requesting. You win, and they also benefit.
What do you think?
Tena kwa kauli zake hapa nahisi ndo wale wale wanyegubu usipime, yani yeye hakufanyii chochote na ukijitahidi kwa juhudi zako anakumind
Tena kwa kauli zake hapa nahisi ndo wale wale wanyegubu usipime, yani yeye hakufanyii chochote na ukijitahidi kwa juhudi zako anakumind