Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,420
- 611
Alteeza ni kama million I 0 had I 4. Hivyo ni vipesa vya ugolo tu mkuu
Alteeza ni kama million I 0 had I 4. Hivyo ni vipesa vya ugolo tu mkuu
Asa ulitaka ilo gari awe nalo lini xaxa
Kweli mwanamke sio mwenzio hujui hilo ndugu.??
Mtapewa mshahara mmoja lkn mwenzio kila siku nguo mpya na gari/anamiliki..hela ya ziada atoa wapi..??..
Mtafanya mtihani mmoja wote mna HYPO ak.a number za viatu mwsho wa siku we utasup yeye walaaa...ujue nini...
TUMEBARIKIWAA...kuna vitu tunavyo we wa kiume huna...lol
Dunia hii banaaa....
X girl friend wangu niliyekua nae mda woote ananililia shida tukaachana badae baada ya kuona tumeshindwana tabia na kwao nilikua nafahamika sana maana nilikua nawasaidia maana hata uwezo wao ni wa chini sana mi miezi sita tuu tumeachan leo hii anamiliki gari yake aina ya Alteza tena mpyaaa duuuh kweli maisha ya mjini mwanamke usije jipambanisha nae
Hata mwezi mmoja sawa tuu but very wonderfull mkuu
Tena ashukuru aliachana na wewe unaonekana ulikuwa unamtia gundu tu.
sasa mwanamke atakuwaje mwenzio na wewe ni mwanaume!!!
kajituma kwa nafasi yake kapambana kapata gari lake, wewe umebaki kulalama tu, hakukosea kuachana na wewe kwa mtindo huu!!! mmmh!!!
mbona kama wamuonea wivu!!! vipi na wewe unataka gari?
bora tu tuolewe wote tujue moja, wanaume wenyewe ndio hawa kutwaa kulalamika kwenye mitandao!
hajatukana lkn amesema tu kweli mwanamke si mwenzio...au we unataka kusema mwanamke ni mwenzio!!Mama yako ni jinsia gani?
Yani siku hizi tunavyo penda ku generalise mambo....daah
Aje uku Mombasa atapata na yeye gari yake Benz mpya kabisa wafadhili tupo kibao!.
Wivu tu unakusumbua, ulijua ulivyomwaga basi utamkuta choka mbaya kapauka ili uone bila wewe yeye haishi, sasa yamekushuka shuuu. Na huo ni mwanzo embu mpe muda uendelee kushuhudia vingine
Wivu tu unakusumbua, ulijua ulivyomwaga basi utamkuta choka mbaya kapauka ili uone bila wewe yeye haishi, sasa yamekushuka shuuu. Na huo ni mwanzo embu mpe muda uendelee kushuhudia vingine