we huna akili ... ulijua akiachana na wewe maisha yake yatakuwa duni ... aibika ooooowoowowoooo .. adui yako mwombee njaa unafkiri walikosea kusema
Miss u too swirie...u mzima wewe?
Mbona demu mwenyewe kaomba kuachana hapo jamaa anahatia gani
Kweli mwanamke sio mwenzio hujui hilo ndugu.??
Mtapewa mshahara mmoja lkn mwenzio kila siku nguo mpya na gari/anamiliki..hela ya ziada atoa wapi..??..
Mtafanya mtihani mmoja wote mna HYPO ak.a number za viatu mwsho wa siku we utasup yeye walaaa...ujue nini...
TUMEBARIKIWAA...kuna vitu tunavyo we wa kiume huna...lol
Dunia hii banaaa....
Tena ashukuru aliachana na wewe unaonekana ulikuwa unamtia gundu tu.
Mpaka wewe..!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Una wivu mkuu
Hahaha Mzee Chibai Happy New Year bwana wewe
Wivu huna ila roho inakuuma!!
sasa mwanamke atakuwaje mwenzio na wewe ni mwanaume!!!
kajituma kwa nafasi yake kapambana kapata gari lake, wewe umebaki kulalama tu, hakukosea kuachana na wewe kwa mtindo huu!!! mmmh!!!
mbona kama wamuonea wivu!!! vipi na wewe unataka gari?
bora tu tuolewe wote tujue moja, wanaume wenyewe ndio hawa kutwaa kulalamika kwenye mitandao!
Santee na wewe pia Khantwe Napenda vingi usemavyo coz navipenda na unavisema vyema nikiona umekua harsh sana nauzunika
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums