tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,422
Ni sheeedaaah! Kitu gani hicho? Je ukianagalia ni kizuri kama ua? Au hadi gizani, mi sina hakika!
Kizuri wewe....kingekua kibaya watu wangehonga...lol...
U know wt.? Ukiwa nacho wakiona kibaya..ila nje kuna mwenzio hata hicho kibaya unachokiona wewe ...mwenzio analia akipate kwa gharama yoyote...ndio yaliyomkuta mleta mada...watu wamemuonyesha