Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,827
Mkuuu achaneni nandoa nyinyi ..ndo nitamuuuuuuHaijalishi ni mzee au kijana. Utamu wa ndoa ni uleule
![]()
Mkuuu achaneni nandoa nyinyi ..ndo nitamuuuuuuHaijalishi ni mzee au kijana. Utamu wa ndoa ni uleule
![]()
Wapo tofauti mkuu. Kuna wa Ruvu wa Indian Ocean wa Mtera wa Ziwa Victoria. Inategemea na eneo anapofanyia uvuvi wake.Huyo kiboko yake ni wa aina gani Mzigua90 ?
Na ikishindikana? Pole sanaYes I did that ,ila acha tuuuu... Hawa watu waudini daaahhhh hawafai hata kidogo...nawachukia sana.
Sana mkuuMkuuu achaneni nandoa nyinyi ..ndo nitamuuuuuu
Hahahahhaa.... khaaa! Wivu sio dawaMimi kuolewa wa wawili sio shida sema mi ndo niwe wa pili. Nikiwa wa kwanza halafu niletewe mwingine ndani ntaacha ndoa. Ila nikiwa wa pili poa tu
Sure bana Mzigua90 ....Sasa iyo mwanamke utamuelezeaje yaaan ???.Huna akili wewe.![]()
Kwanza huyo bwana atakua haendi kwa bimkubwa wala bimdogo. Sishindwi kuloesha nguo zote mimi langu litimie.Hahahahhaa.... khaaa! Wivu sio dawa
Kama nakuona vile
![]()
Haswaaa mwaya, mie mwenyewe ikifika siku yangu mbona itakuwa balaaSasa mtu akiolewa asifurahi jamaani aonyeshe huzuni wakati maisha yenyewe mafupi haya.
Kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hivyo ikitokea furaha muhimu bana.
Daahh huyu bana siyo wakuweka ndani . Huyu Sijui Kama Atapata wakuweka Ndani Maani Kitimoto Kilo Tatu na Povu La Castle Litakuhusu Kila Siku
DuuhWapo tofauti mkuu. Kuna wa Ruvu wa Indian Ocean wa Mtera wa Ziwa Victoria. Inategemea na eneo anapofanyia uvuvi wake.

Si mchezo. Chezea ndoa???Wacha Weee.
Asprin ,,Baba na mama yangu bado wananipenda looooooohhhh huuu mzigo ,,, kuupakua uuweke kwenye sahani uanze kuula ,,,si nivita muraaaaaaaMizigo mingine inabidi tuigawe bure tu
![]()
.