Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Mito jaman kwani we ni kaben10
Hamna, sema bado sijajua unataka mwanaume wa aina gani, maana....
Viben10 hutaki...
Marioo hutaki...
Maheadsome hutaki...
Wenye hela hutaki...

Khaaaa
 
Hamna, sema bado sijajua unataka mwanaume wa aina gani, maana....
Viben10 hutaki...
Marioo hutaki...
Maheadsome hutaki...
Wenye hela hutaki...

Khaaaa
nimecheka sana
 
Huyu ni Shishi Trump anafuraha kupita maelezo kwa kuolewa na Uchebe.

Twende mbele turudi nyuma hapa mjini utadanga wee ila mwisho wa siku ndoa utaihitaji tu. Na kama ukifika 40's haujaolewa hautakuwa na maisha yenye amani.

Hongera Uchebe naona mzimu wako haujaleta masihara kama mzimu wa Nuhu.
Sema Shishi ameoa bana...ameolewa wapi wakati alitoa mahari na show nzima aligharamia yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom