Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Akaaaa. Kumsalimia Putin mdogo pia mpaka nikwambie jamani. Nikishamaliza kukuogesha na kupiga story mbili tatu na wewe Putin mkubwa naenda msalimia sasa Putin mdogo.
Khaaaaa!!!

Kama nakuona vile ulivyo tayaritayari...

images
 
Hivi mbona mnaongea kama vile wanawake ndo hawataki kuolewa. Wakati mimi naona mwanamke hakatai kuolewa ila anachokataa ni kuacha maex wake. Yaani akiolewa anataka aendelee nao hiki ndo ninajua mimi kwamba hawataki hili sina hakika.
🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳🙄😵🙄🙄
 
Hapoooo sawaaaaaaaa hapooo sawaaaaaa ...nahapa kwamambo hayo ,,nilazima nirudi nyumban saaa 12 join nishafikaaa.

Alafu napokelewa na Na chai yamaziwa ,,Karangaa ..sijakaa sawa unasikiaaa "Baby nataka kuongea na Putin wako mdogo " mweeeeeeeee

Hakika chakula hakiungui
Hahahahaa huyo Ndiyo putini. Fundi Mwenyewe
 
Akaaaa. Kumsalimia Putin mdogo pia mpaka nikwambie jamani. Nikishamaliza kukuogesha na kupiga story mbili tatu na wewe Putin mkubwa naenda msalimia sasa Putin mdogo.
Tanga!Kunani paleeeee! Koh!Koh!
 
Hapo sasa ndo namalizia malizia kuongea na mkubwa halafu nahamia kwa mdogo
Kiruuuuuuuuuuu whaaaaaaaat a service ???.

Ati kwahayo mambo ,baada ya ndoa ,nipo tayar tukae miaka mitatu bila mtoto[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahaaaaa Mkuuu weee naye unanipa mbichwa mpaka nitapasuka sasa..

Umeona lkn ,Mzigo ulopewa na Aspirin??.
Mkuu mizigo ya Aspirini Ni Pasua Kichwa. Michemsho Inahitajika Asubuhi Na Jioni. mdudu Mixa Na Povu La castle Pia Inahusika Mkuu Mie Siwezi Nasubili Wanioe Tuu Hawa wakifika 35[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom