Kweli Mungu hana upendeleo?

Kweli Mungu hana upendeleo?

Kiarabu lugha ya peponi , Tender tunda la peponi mzaituni tunda la peponi Ngamia mnyama wa peponi, Automatically ukishaambiwa hivyo if Hauna Akili timamu lazima Uwe brainwashed taratibu utaanza kulidharau fenesi na kuyatukuza mazao ya Waarabu,

Automatically Unaanza kuacha culture Yako na kuanza kupenda Kila kitu Cha mwarabu, na kuwaona wao kuwa wamebarikiwa zaidi kuliko race Yako + Taifa lako
🤝🙌
 
So ni issues tu ya Theology

Ndani ya elimu ya Theology Kuna Kila Aina ya utapeli wa kiimani na wachungaji wengi pia lazima wasomee hayo ,

So anacho kifanya mtu kama mwamposa hakina tofauti na walicho kuwa wana kifanya hao kina Muhammad na yesu wote walikuwa wana watapeli watu , sema wao wakifanikiwa kuunganisha dini na serikali zao , so issue yoyote ikisha tungiwa

sheria na ikaingizwa ktk mtaala wa elimu na kuundiwa sera Baada ya muda watu wote lazima mtaifuta , mfano mdogo ni wakati wa Nyerere alikuwa ame create propaganda kwamba iddy amini Huwa ana kula nyama za watu na wananchi wengi kweli walikuwa wana amini ,

Katika maisha ogopa sana psychology weapon ni kitu kibaya sana , Dini siasa na vyama vyote vya michezo + wafanya biashara wakubwa duniani hiyo ndio silaha yao
 
So ni issues tu ya Theology

Ndani ya elimu ya Theology Kuna Kila Aina ya utapeli wa kiimani na wachungaji wengi pia lazima wasomee hayo ,

So anacho kifanya mtu kama mwamposa hakina tofauti na walicho kuwa wana kifanya hao kina Muhammad na yesu wote walikuwa wana watapeli watu , sema wao wakifanikiwa kuunganisha dini na serikali zao , so issue yoyote ikisha tungiwa

sheria na ikaingizwa ktk mtaala wa elimu na kuundiwa sera Baada ya muda watu wote lazima mtaifuta , mfano mdogo ni wakati wa Nyerere alikuwa ame create propaganda kwamba iddy amini Huwa ana kula nyama za watu na wananchi wengi kweli walikuwa wana amini ,

Katika maisha ogopa sana psychology weapon ni kitu kibaya sana , Dini siasa na vyama vyote vya michezo + wafanya biashara wakubwa duniani hiyo ndio silaha yao
Natamani ningesoma ila ndio hivyo darasa la 7
Ila si haba naendelea kujifunza
🤝
 
Huamini?
Ni kweli nimeisha la 7
Kama ningesoma kufika secondary &Chuo aisee najiona ningekua mtu tofauti👌
 
Mimi mwenyewe natamani kwenda kupiga hiyo degree ya Theology natamani sana kuwageuza watu mandezi 😁
Wewe nafasi baado unayo degree wanasoma hadi wazee
Sasa mimi nianzie secondary then chuo, 🙌😁
 
Kwanza tufikiri kwa utulivu.
Uovu si kitu kilichoumbwa kama kiumbe au kitu kinachojitegemea. Uovu ni matokeo ya kuacha kufanya mema au kutumia vibaya uwezo tuliopewa.

Hebu jiulize:

Kama mtu amepewa akili, nguvu na uwezo wa kufanya jambo jema, halafu akaamua kutumia uwezo huo kudhulumu au kuonea, je, uovu umetoka kwa Mwenyezi Mungu au umetokana na maamuzi ya huyo mtu?

Fikiria mfano rahisi:
Kisu kimetengenezwa kwa ajili ya kukata chakula. Lakini mtu akakitumia kumdhuru mwenzake, je, tutasema mtengenezaji wa kisu ndiye aliyeumba uhalifu huo, au tatizo liko kwa aliyekitumia vibaya?

Sasa tafakari swali lingine muhimu:
Kama Mwenyezi Mungu angeumba viumbe wasioweza kabisa kufanya makosa, wasioweza kuchagua, je, hao bado wangekuwa na hiari, au wangekuwa kama mashine zinazofanya zilichopangiwa tu?

Na kama hakuna uwezekano wa kuchagua ubaya, je, wema ungekuwa na thamani gani?
=>Kwa sababu wema wa kweli hutambulika pale ambapo mtu ana uwezo wa kufanya mabaya lakini anachagua mema.

Kuhusu swali lako la kusema: “Kama ubaya haujaumbwa na Mwenyezi Mungu kwa nini umewekwa kwenye machaguo?”
Jiulize tena:
Je, kuwepo kwa uwezekano wa kufanya kosa ni sawa na kusema kosa lenyewe limeumbwa na kulazimishwa?

Au ni sehemu ya kuwapa viumbe uhuru wa kuchagua?
Kwa hiyo ukweli ni huu:
Mwenyezi Mungu ameumba uwezo, akili na uhuru wa kuchagua. Lakini uovu hutokea pale viumbe wanapotumia vibaya vipawa hivyo.

Ndiyo maana swali la mwisho la kutafakari ni hili:
Je, ulimwengu wa viumbe wenye hiari wanaoweza kuchagua mema kwa utashi wao una hekima zaidi, au ulimwengu wa viumbe wasiokuwa na uwezo wa kuchagua chochote?
Mkuu unazunguka sana,
Mbali na kutumia AI,
Bado hujajibu swali zaidi ya maelezo yasiyo na tija.

Nauliza tena:
Akili ya kufanya ubaya, Shetani aliitoa wapi?

Je, tumlaumu shetani kwa kuchagua ubaya, au tumlaumu Mungu kwa kumpa shetani akili ya kufanya ubaya?
 
Mkuu unazunguka sana,
Mbali na kutumia AI,
Bado hujajibu swali zaidi ya maelezo yasiyo na tija.

Nauliza tena:
Akili ya kufanya ubaya, Shetani aliitoa wapi?

Je, tumlaumu shetani kwa kuchagua ubaya, au tumlaumu Mungu kwa kumpa shetani akili ya kufanya ubaya?
Acha tumlaumu Shetani
 
Kiarabu lugha ya peponi , Tender tunda la peponi mzaituni tunda la peponi Ngamia mnyama wa peponi,
Wewe nani kakuambia kiarabu ni lugha ya peponi au umejuaje?
Unamaanisha nini kusema ngamia ni mnyama wa peponi na tende ni tunda la peponi?
 
Maswali yako yanaonekana mazito, lakini mengi yake yanatokana na kuchanganya vitu vitatu tofauti:
elimu ya Mwenyezi Mungu, hiari ya viumbe, na hekima ya uumbaji. Tukivitenganisha kwanza ndipo majibu yanaanza kuwa wazi.


Kwanza kabisa, kusema kwamba Mwenyezi Mungu anajua kila kitu kabla hakijatokea ni sifa ya ukamilifu wa elimu Yake. Lakini kujua jambo kabla halijatokea si sawa na kulazimisha jambo hilo litokee.


Tafakari mfano rahisi:
Mwalimu mwenye uzoefu mkubwa anaweza kumtazama mwanafunzi na kujua kabisa kuwa mwanafunzi huyo hatasoma na ataanguka mtihani. Lakini je, kujua kwake kunamlazimisha mwanafunzi aanguke? Hapana. Mwanafunzi bado ana uwezo wa kusoma au kuacha kusoma.


Hivyo pia, elimu ya Mwenyezi Mungu kuhusu kitakachotokea haiondoi hiari ya viumbe kufanya maamuzi yao.


Sasa kuhusu swali la shetani.


Shetani hakuumbwa akiwa muasi. Aliumbwa akiwa kiumbe mwenye uwezo wa kumtii Mwenyezi Mungu kama viumbe wengine. Lakini alipopewa hiari, alichagua kiburi na uasi. Hapo ndipo uovu ulipotokea.


Tafakari swali hili:
Kama Mwenyezi Mungu angeumba viumbe wasioweza kabisa kukosea, wasioweza kuchagua, je, bado wangekuwa viumbe wenye hiari au wangekuwa kama mashine?


Ulimwengu wa viumbe wenye hiari lazima uwe na uwezekano wa kuchagua mema au mabaya. Bila uwezekano huo, maneno kama uadilifu, subira, toba, msamaha na ucha Mungu yasingekuwa na maana.


Sasa kuhusu Adam.


Ndiyo, Mwenyezi Mungu alijua Adam atakosea kabla hajakosea. Lakini kosa la Adam halikuwa mwisho wa hadithi ya mwanadamu. Ndilo lililofungua mlango wa maisha ya dunia, toba, kujifunza na safari ya mwanadamu kuelekea ukamilifu wa kiroho. Katika mafundisho ya Kiislamu, Adam alitubia na akasamehewa. Hivyo kosa lake halikuwa kushindwa kwa mpango wa Mwenyezi Mungu, bali lilikuwa sehemu ya hekima kubwa zaidi ya maisha ya mwanadamu duniani.


Sasa swali la nani ataingia Peponi au Motoni.


Mwenyezi Mungu anajua mwisho wa kila mtu kwa sababu elimu Yake haina mipaka. Lakini mtu huchagua njia yake kwa hiari yake mwenyewe. Mwenyezi Mungu hajamlazimisha mtu awe dhalimu, mwongo au mwovu. Mwanadamu mwenyewe ndiye huchagua njia yake katika maisha.


Tafakari hili:
Kama mtu angefanya dhuluma, mauaji, uonevu na uharibifu mkubwa halafu akafa bila kuwajibishwa, je, huo ungekuwa uadilifu?
Au haki ya kweli inahitaji kwamba mema yalipwe na mabaya yawajibishwe?


Hivyo wazo la malipo na adhabu si ukatili; ni sehemu ya haki.


Kuhusu swali la kwanini Mwenyezi Mungu asingemuumba shetani kabisa: swali hilo linahusiana na hekima ya ulimwengu wenye mtihani wa kimaadili. Katika ulimwengu huu, mwanadamu anajifunza kupambanua mema na mabaya, kupambana na vishawishi, na kuchagua haki kwa hiari yake. Ndipo matendo yake yanakuwa na thamani.


Mwisho wa tafakuri hii, jambo moja linabaki wazi: kadiri mwanadamu anavyotafakari kwa kina juu ya maisha, uhai, mpangilio wa ulimwengu na safari ya mwanadamu ndani yake, ndivyo anavyoanza kuona ukubwa wa hekima ya Mwenyezi Mungu.


Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa yote, hakuna kinachofichika mbele ya elimu Yake. Yeye ni Mwenye hekima katika kila anachokiumba, hata kama akili ya mwanadamu haiwezi kufikia kina cha hekima hiyo yote. Yeye ni Mwingi wa rehema na huruma, anayewapa viumbe Wake nafasi ya kutubu, kujirekebisha na kurejea kwenye haki.


Utukufu wote ni wa Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi, Mjuzi wa yaliyopita, yaliyopo na yajayo, Mwenye uwezo usio na mipaka na Mwenye hekima isiyokosea katika uumbaji Wake. Kwake ndiko sifa zote njema zinarejea milele.
Kama Mungu alimpa Shetani uhuru wa kuchagua kati ya wema na ubaya, kisha shetani yeye akajichagulia ubaya,
Sasa kwanini aadhibiwe ikiwa alipewa uhuru wa kuchagua?

Je, huo ni uhuru au ni kulazimishwa kuchagua wema?

Mfano: Nikikwambia nakupa offer uchague kati ya kahawa na chai, kisha nikakwambia ukichagua chai nitakukata mshahara,
Je, hapo nimekupa uhuru wa kuchagua au nimekulazimisha kuchagua kahawa ili usikatwe mshahara?
 
Back
Top Bottom