Hata najua basi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 2,219
- 4,554
- Thread starter
- #21
Huyo huyo wa utatu mtakatifu ambae amesema anajua mwanzo na mwisho kwahiyo kila kinachotokea anajuaKama una mzungumzia Mungu wa Utatu Mtakatifu (Trinitarian God) huyo hayupo hivyo hayo yanayosemwa juu yake ni UONGO.
Mateso na Uovu uliopo Dunia ni matokeo ya matendo ya viumbehai.
Mfumo wa Asili hautambui Maadili, kwake hakuna chema wala kibaya. Mfumo upo kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kujiendesha.
Virusi na Bacteria vinategemea viumbe hai kama binadamu kupata chakula na kuzaliana, Virusi na Bacteria hawana lengo la kusababisha maradhi, lengo lao kuu ni Maisha.
Tetemeko la Ardhi ña Majanga mengine ya Asili wakati dunia inapokuwa kwenye harakati za kujiendesha kupitia "plate tectonic movements", matokeo ya majanga hayo yaweza kuwa VIFO vya viumbe, ila kiasili ni faida kwasababu VIFO hivyo vitafanyika kuwa CHAKULA kwa viumbe wengine, matengenezo ya ardhi, matengenezo ya hewa ya oksijeni, nk.
Nature is neither immoral nor moral, only pitiless indifferent.
Kama viumbe wenye UTASHI tunapaswa kutumia AKILI zetu vizuri tulizopewa na Mama-Asili kusahihisha yale yanayosababisha Maumivu, na Kutengeneza yale yanayosababisha Furaha na Amani.
When Science and Reason is Used to its Maximum Potential, the Earth can become unimaginable Heaven.
Mfano alijua zamani kabra ya kuzaliwa kua nitakua muuwaji kwann sasa asingezuia hilo lisitokee badala yake anakuacha ufanye ili akakuchome moto?