Kweli Mungu hana upendeleo?

Kweli Mungu hana upendeleo?

Mungu wa hizi dini anao upendeleo hili wala halihitaji akili nyingi kulijua, ndiomaana kuna wahuni pamoja na makandokando yao hutowai kuona wakiteseka, ila kuna wewe apo mateso ni sehemu ya maisha yako, pia kuna watoto wadogo wasiojua lolote ovu lkn mabaya yanawakuta, kuna wale wanakesha kumuomba huyo Mungu usiku na mchana lkn mabaya yamekuwa sehemu ya maisha yao

Kiufupi Mungu wa hizi dini anaenjoy sana kuona watu wakiteseka, kuna muda anashirikiana na kijana wake shetani kuwahujumu wanadamu kwa mitego na mapito magumu ili waanguke apate sababu ya kuwahukumu.

Mungu wa dini hatabiriki, kwenye vitabu vyake anasema hili na kiuhalisia anatenda tofauti kabisa, yaani hana mazoea wala ushikaji na kiumbe chochote kiitwacho binadamu.

Mungu wa ukristo na uislamu ni mzushi kaundwa na wazungu/waarabu kwa madhumuni ya kuharibu fikra za watu watawalike kiwepesi (Allah& Yehova/yesu hawa ni viumbe wa kusadikika tu hawapo na hawatowai kuwepo)
Indeed 🎯
 
Ngoja nikuongezee maswali mengine ili ufikiri zaidi.

Kama Mungu ni mjuzi wa yote, anajua mwanzo, kati na mwisho:

Je, Alijua mpema kuwa shetani ataasi na kusababisha mateso makubwa lakini akaamua kumuumba hivyohivyo?

Je, hii inamaanisha mateso ni sehemu ya mpango wake?

Je, Alijua kuwa Adam atakula tunda hata kabla hajaanza kuumba kitu chochote?

Je, Anajua alikotokea? Wapi?

Je, Anajua fulani ataenda motoni hata kabla huyo fulani hajazaliwa?

Na kama ana upendo, kwanini alimuumba shetani huku anajua atasababisha mateso makubwa?

Na kama ni wa haki, kwanini asingemuumba shetani kabisa?

Na kwanini atachoma moto watu kwa kosa lake mwenyewe la kumuumba shetani?
Noma 🔥😁
 
Kazi kweli kweli mwalimu wangu wa madrassa ,alikua ananichukia nikimuhoji kama kuna ulazima tukariri Qur'an kwa kiarabu badala ya kiswahili na kuniita mjuaji
Unajua sasa faidi za kuhifadhi maandiko kwenye lugha ya asili kuliko lugha nyingine?
 
Kazi kweli kweli mwalimu wangu wa madrassa ,alikua ananichukia nikimuhoji kama kuna ulazima tukariri Qur'an kwa kiarabu badala ya kiswahili na kuniita mjuaji
Mimi nimekulia katika dini Tena ile kindaki ndaki but baada ya kuwa mtu mzima Kila nikifanya reason naona kabisa huyu mungu ni uongo ( Utapeli )
 
Hakuna faida yoyote kilicho kuwa kinalengwa na Waarabu ni kuwa na influence ya utamaduni wao Kwa watu wa mataifa mengine Kwa wepesi Kwa kutumia mgongo wa Imani , that's why kwaajili ya kuwa influence watu waweze kujifunza kiarabu Waka waambia watu kiarabu ni lugha ya peponi 😁
Nipe faida yake
 
Yaani ni hatari sana
Yaani ni hatari sana
Kiarabu lugha ya peponi , Tender tunda la peponi mzaituni tunda la peponi Ngamia mnyama wa peponi, Automatically ukishaambiwa hivyo if Hauna Akili timamu lazima Uwe brainwashed taratibu utaanza kulidharau fenesi na kuyatukuza mazao ya Waarabu,

Automatically Unaanza kuacha culture Yako na kuanza kupenda Kila kitu Cha mwarabu, na kuwaona wao kuwa wamebarikiwa zaidi kuliko race Yako + Taifa lako
 
Back
Top Bottom